sipingi kuijua afya yake!je tuitumie hiyo kumhukumu?
Rais mwenye afya mbovu hauwezi kutimiza majukumu yake vizuri ndo maana tuko tayari kutumia gharama yeyote ili mradi rais awe na afya njema kutokana na umuhimu wa nafasi yake. Kama afya mgogoro hafai kuchaguliwa. Atafutiwe kazi nyingine
Aisee Utingo sikutegemea kama ungeuliza swali technical namna hiyi.the question is what can he do?
sipingi kuijua afya yake!je tuitumie hiyo kumhukumu?
wakuu salaam!
naomba kufahamishwa,mimi ninajua kuwa afya ya mgonjwa ni siri ya mgonjwa na Daktari wake!kama ndivyo,je na halali kwa watanzania kutaka kujua hali ya afya ya rais wao!au hiyo ni siri yake na daktari wake?