Kuchepuka na mke wa mtu inabidi uwe mjanja na kama mwanamke anaelewa xana show huwa hawajali sana kuhusu waume zao wanawadharau na kuwachukulia poa anaweza kukuita hata nyumbani kwake ukamsuuze bila kujali, wakati huo mumewe anamuona kama fala tu na wewe kama ndio boyaboya utajiona mjanja kumuwekea mchizi kumbe ndio unajiweka kwenye hatari kwenye mazingira kama hayo Tatizo kujisahau tuView attachment 508762View attachment 508763View attachment 508764View attachment 508765
Bi mdogo kafumaniwa JANA IJUMAA.
Hapo ni hao wake zake watatfute michepuko nje kwa pamoja ili wakitoka wanatoka wote jamaa halitashtukia.
Mbona wagunaMmmmh
Six pack tupa kuleMapenzi pesa
Six pack tupa kuleMapenzi pesa
Uongo first class si angebakizwa TA pale ?Javan Bidogo....alikua kichwa pale UD kipindi tunasoma Geology....he graduated with a first class....Big up classmate
kwani lazima kufundisha?Uongo first class si angebakizwa TA pale ?
We vipi...kubaki chuoni ni hiari sio lazima.....Uongo first class si angebakizwa TA pale ?
Umeona eeh mkishapendana basi tena full rahaKwa Sie tuliowaona hawa Madada ni midude ya maana zigo zigo,naona Jamaa akaona isiwe shida akabeba wote!uzuri they love each other
Kweli bila shaka honeymoon ilikua threesome. Hela zikiisha wataendeleza huo ushoga hao wanawake?Nguvu ya pesa+
Hapo 3sum inawahusu...sio kwa sharing hiyo!
Huyu jamaa akipona na TAQUQULU akatambikeKweli bila shaka honeymoon ilikua threesome. Hela zikiisha wataendeleza huo ushoga hao wanawake?