Afumwa akiisaliti ndoa chooni, aomba talaka

Afumwa akiisaliti ndoa chooni, aomba talaka

Lugano5

R I P
Joined
Jul 15, 2010
Posts
4,520
Reaction score
759
AFUMWA AKIISALITI NDOA CHOONI, AOMBA TALAKA
Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Salima mkazi wa Magomeni Kagera jijini Dar, amekuwa gumzo maeneo hayo baada ya kunaswa na mumewe akibanjuka na mwanaume mwingine chooni.
Tukio hilo lilijiri mwishoni mwa wiki iliyopita saa nane usiku baada ya mwanamke huyo kumuacha mumewe akiwa amelala kisha kujifanya anakwenda kujisaidia read it more at FOR IT,WEB-HOSTING AND NEWS You are welcome maswa exclusive blogspot.
 
Hawa wanawake wamezidi sana usaliti, ndio maana mtu akichukua maamuzi ya ki Afro Saro simlaum.!!
 
aaaaaaaaa .............. nafikria kuoa......... dah ukilinganisha matukio kama hayo nachoka sana bora uniombe taraka kuliko kunifanyia hivyo. hatari sana. wengine wanaaga wanakwenda kuoga kumbe anakwenda kuogeshwa k..a yake na jamaa
 
Au Jamaa huwaga amfikishagi au tamaa tu madem hatarii sanaa
 
Wanawake bana sio watu wazuri hususan wa kizazi hiki...kuna mwanamke alifumwa akiliwa uroda huku anaosha vyombo kumbe sehemu anayo oshea vyombo kwenye fens alikiwa katengeneza sehem maalu jamaa huwa nakuja muda ule mwanamke anaosha vyombo jion jamaa anajilia vitu huku mwana mama anaosha vyombo kwa ustad wa hali ya juu!!
 
Wanawake bana sio watu wazuri hususan wa kizazi hiki...kuna mwanamke alifumwa akiliwa uroda huku anaosha vyombo kumbe sehemu anayo oshea vyombo kwenye fens alikiwa katengeneza sehem maalu jamaa huwa nakuja muda ule mwanamke anaosha vyombo jion jamaa anajilia vitu huku mwana mama anaosha vyombo kwa ustad wa hali ya juu!!

Cc Elli mpwa naomba coment hapa.
 
Last edited by a moderator:
Wanawake bana sio watu wazuri hususan wa kizazi hiki...kuna mwanamke alifumwa akiliwa uroda huku anaosha vyombo kumbe sehemu anayo oshea vyombo kwenye fens alikiwa katengeneza sehem maalu jamaa huwa nakuja muda ule mwanamke anaosha vyombo jion jamaa anajilia vitu huku mwana mama anaosha vyombo kwa ustad wa hali ya juu!!

Hiyo dushe yenye uwezo wa kupita kwenye fensi itokee upande wa pili na imuingie mtu ni ya mwanaume au ya punda???
 
mtafiti mmoja kaja na hii 'Muda mwingi wa maisha tunaupoteza kwenye masuala ya ngono tukidhani ndio kitu cha muhimu. Tunakujagundua tukiwa juu ya miaka 55 kuwa tumeacha vitu vingi muhimu zaidi kwa kugharimia ngono.' too late. Ukitaka link nipm.
 
mtafiti mmoja kaja na hii 'Muda mwingi wa maisha tunaupoteza kwenye masuala ya ngono tukidhani ndio kitu cha muhimu. Tunakujagundua tukiwa juu ya miaka 55 kuwa tumeacha vitu vingi muhimu zaidi kwa kugharimia ngono.' too late. Ukitaka link nipm.

Labda lakini
 

Attachments

  • 1391800678186.jpg
    1391800678186.jpg
    29.3 KB · Views: 304
Najua wezi amini

Hiyo fensi ni ya miba au ukuta?
kama ni miba, hiyo dushe ina ujasiri wa kukatisha kwenye miba? Makalio ya huyo maza yana ujasiri wa kusogelea miba?
kama ni ya ukuta hiyo dushe ina urefu wa kupenyeza tofali itokee upande wa pili imuingie mtu?
hakuna kitu, kahawa tu hapa.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom