Afrika tuwe macho: Madai ya wazungu kuwa huko Ulaya na Marekani Waafrika ndio wanaokufa zaidi

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
13,663
18,037
Taarifa za wazungu zinasema huko Ulaya hususani Uingereza (kwa mujibu wa BBC Kiswahili jana), watu weusi na wenye asili ya Asia eti ndio wanaokufa zaidi na korona kuliko wazungu.

Hii haijakaa vizuri na inabidi Afrika kushtuka mapema!! Hii ni kwa sababu inapingana na uhalisia wa mambo jinsi ulivyo:

1. Kwanza China kwenyewe ambako ugonjwa ulianzia, kuna watu weusi wengi tu. Lakini takwimu zao zinaonyesha kuwa watu weusi hawakuathirika/hawakufa sana kutokana na ugonjwa wa korona. Kinyume chake ni kuwa asilimia kubwa ya watu waliokuwa na korona lakini hawana dalili zozote za ugonjwa ni watu weusi. Hicho ndicho kilichopelekea kuamua kuwapima waafrika kwa lazima. Nadhani wote mnakumbuka sekeseke hilo hadi wakuu wa nchi za Afrika waliilalamikia China rasmi.

2. Pili hapa Afrika idadi ya vifo vya watu weusi ni vichache sana. Sehemu ya Afrika iliyoathirika kidogo ni Algeria, Misri, Tunisia na Morocco. Na wote mnafahamu nchi hizo ni Waafrika wasio weusi.

3. Vifo vya nchi zote za Afrika mpaka sasa hazijafikia hata vifo vya siku mbili tu vya Marekani japo idadi ya Waafrika ni zaidi ya mara tatu ya idadi ya Wamarekani wote.

Baada ya kutoa maelezo haya inawezekana kabisa:

1. Watu weusi wakiugua korona huko Ulaya na Marekani hawapewi huduma inayostahili ndiyo maana wanakufa zaidi. Kwa nini waugue zaidi na wafe ulaya na Marekani tu?

2. Wanaweza kupandikiziwa hata korona hiyo! Kama wamarekani wanaishuku china kwa nini na sisi tusiwashumu wao?

3. Inawezekana tunataka kuaminishwa kuwa waafrika ndio tutakuwa wahanga wakubwa wa corona. Wakifanikiwa kutuaminisha hivyo watakuwa wameandaa mazingira ya kutumaliza baadaye halafu wasingizie corona na kusema si tuliwaambia waafrika ndio wanakufa sana?

4. Kwa mazingira hayo, tujihadhari sana hata na dawa na chanjo za wazungu!! Si mnakumbuka hata wazungu wengine bila aibu walisema chanjo ifanyiwe majaribio kwa waafrika!!

Kwa upande wangu nitasubiri chanjo itakayogunduliwa na waafrika. Na niwaombe wataalam wetu hasa NIMRI waanze mchakato wa kutafuta chanjo ya corona na Serikali iwawezeshe. Wataalam tunao na ninaomba tuwaamini na tuwawezeshe.

Hotuba ya Rais wetu wakati anamwapisha waziri wa sheria ina vitu vizito sana na itupe tahadhari sana. Hii ni vita kubwa!! Wazungu wanatazamia miili ya waafrika isambae mitaani!! Halijatokea hilo na watajitahidi litokee. Tuwe macho!!
 
Hata madai kuwa watu weusi huko Ulaya na Marekani ni maskini sana ndio maana wameathirika zaidi. Si kweli!! Ulaya maskini wakubwa na wengine ni mateja si watu weusi, bali ni wazungu!! Kuna wazungu wengi Ulaya ni maskini hata wanalala mitaani!! Kwa wengine ambao tulishakaa hizo nchi ambazo wengine wanaziita "nchi za wenzetu" tunafahamu kuwa kuna wazungu wengi tu mahohehahe!! Kwa hiyo kigezo cha umaskini wa watu weusi kuwa ndio chanzo cha kufa zaidi na corona siyi cha kweli!! Kuna kitu!! tuwe macho!!
 
Taarifa za wazungu zinasema huko Ulaya hususani Uingereza (kwa mujibu wa BBC kiswahili Jana), watu weusi na wenye asili ya Asia eti ndio wanaokufa zaidi na korona kuliko wazungu!!

Hii haijakaa vizuri na inabidi Afrika kushtuka mapema!! Hii ni kwa sababu inapingana na uhalisia wa mambo jinsi ulivyo:

1. Kwanza China kwenyewe ambako ugonjwa ulianzia, kuna watu weusi wengi tu. Lakini takwimu zao zinaonyesha kuwa watu weusi hawakuathirika/hawakufa sana kutokana na ugonjwa wa korona. Kinyume chake ni kuwa asilimia kubwa ya watu waliokuwa na korona lakini hawana dalili zozote za ugonjwa ni watu weusi. Hicho ndicho kilichopelekea kuamua kuwapima waafrika kwa lazima. Nadhani wote mnakumbuka sekeseke hilo hadi wakuu wa nchi za Afrika waliilalamikia China rasmi.

2. Pili hapa Afrika idadi ya vifo vya watu weusi ni vichache sana! Sehemu ya Afrika iliyoathirika kidogo ni Algeria, Misri, Tunisia na Morocco. Na wote mnafahamu nchi hizo ni waafrika wasio weusi!!.

3. Vifo vya nchi zote za Afika mpaka sasa hazijafikia hata vifo vya siku mbili tu vya Marekani japo idadi ya waafrika ni zaidi ya mara tatu ya idadi ya Wamarekani wote!

Baada ya kutoa maelezo haya inawezekana kabisa:

1. Watu weusi wakiugua korona huko Ulaya na Marekani hawapewi huduma inayostahili ndiyo maana wanakufa zaidi. Kwa nini waugue zaidi na wafe ulaya na Marekani tu?

2. Wanaweza kupandikiziwa hata korona hiyo! Kama wamarekani wanaishuku china kwa nini na sisi tusiwashumu wao?

3. Inawezekana tunataka kuaminishwa kuwa waafrika ndio tutakuwa wahanga wakubwa wa corona! Wakifanikiwa kutuaminisha hivyo watakuwa wameandaa mazingira ya kutumaliza baadaye halafu wasingizie corona na kusema si tuliwaambia waafrika ndio wanakufa sana?

4. Kwa mazingira hayo, tujihadhari sana hata na dawa na chanjo za wazungu!! Si mnakumbuka hata wazungu wengine bila aibu walisema chanjo ifanyiwe majaribio kwa waafrika!!

Kwa upande wangu nitasubiri chanjo itakayogunduliwa na waafrika. Na niwaombe wataalam wetu hasa NIMRI waanze mchakato wa kutafuta chanjo ya corona na Serikali iwawezeshe!! Wataalam tunao na ninaomba tuwaamini na tuwawezeshe!!

Hotuba ya Rais wetu wakati anamwapisha waziri wa sheria ina vitu vizito sana na itupe tahadhari sana!! Hii ni vita kubwa!! Wazungu wanatazamia miili ya waafrika isambae mitaani!! Halijatokea hilo na watajitahidi litokee!! Tuwe macho!!
Afrika tufumbue mscho
 
Siyo kwamba najidharau kwa kuwa nami ni muafrika,ila muafrika kama muafrika bado sana tunahitaji tiba ya kisaikolojia,kifikra,kimtazamo ili tubadilike,akili ya muafrika huwa inafikiria ndani ya mipaka yake ila nje ya mipaka yake ni ngumu sana kwa muafrika kifikiri.
Waafrika tunafikiria hivi,SASA NINA SHIDA,ILI NIITATUE SHIDA YAJNGUI YA SASA KWA KUWA SULUHISHO LAKE NI LAKI MBILI,BASI NAHITAJI LAKI MBILI,SHIDA YANGU IKIISHA SITOHITAJI TENA LAKI MBILI,MIMI NI MUAFRIKA NADHANI MIMI BADO NI MJTU WA DUNIA YA TATU,NAAMA WALINIITA HIVYO,NAKUBALI,hili ni tatizo letu sana.
Inahutaji musa kumuelewesha muafrika akakuelewa.
 
Mtu anatoa recommendation kwasababu ya utafiti uliofanyika. Wewe unakuja kupinga because of your wishful thinking bila kufanya utafiti.

Huu ugonjwa upo na tutaishi nao. Na tambua unamutate.

Nyie ndyo mwqnzo mlisema africa hatuwezi kuugua corona. Sasa sisi ndyo maccarrier. Wenye afya mgogoro will never survive this.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu anatoa recommendation kwasababu ya utafiti uliofanyika. Wewe unakuja kupinga because of your wishful thinking bila kufanya utafiti.

Huu ugonjwa upo na tutaishi nao. Na tambua unamutate.

Nyie ndyo mwqnzo mlisema africa hatuwezi kuugua corona. Sasa sisi ndyo maccarrier. Wenye afya mgogoro will never survive this.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe huwajui wazungu vizuri...endelea kuchapa usingizi wa pono!
 
Hii corona inatupa ujumbe Africa...tuache kuwategemea wazungu, si tu serikali bali hata matajiri wa Afrika umefika wakati sasa wa kufikiria kuwekeza kwenye utafiti wa chanjo ya corona na magonjwa mengine mbalimbali. Hii corona ni mwanzo tu, hatujui kesho na kesho kutwa tutaletewa maradhi gani mengine, wasomi na watafiti wetu wa kiafrika wawezeshwe kutafuta suluhisho na sisi waafrika wenyewe...utegemezi wetu kwa wazungu, wachina nk ndio unatuponza. Mpaka pale tutakapojitegemea ndipo hawa wenzetu watatuelewa na kutambua kuwa sisi ni binadamu kama wao.
 
Back
Top Bottom