Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,805
- 1,873
Walidanganywa na Zuma kuwa ukifanya mapenzi na mwathirika, ukioga tu mara umalizapo unapunguza uwezekano wa maambukizi. 🙂Wenyewe wanasemaje kuhusu hilo ongezeko?! Ni ongezeko linalotokana na Wanaijeria na wahaamiaji wengi wa Kiafrika, au?!
Walidanganywa na Zuma kuwa ukifanya mapenzi na mwathirika, ukioga tu mara umalizapo unapunguza uwezekano wa maambukizi. 🙂
Basi msumbiji ndio inaongozaafrika kusini haiongozi kwa uchumi afrika
Mila zao ndo zinarutubisha maambukizi
ipi inaongoza?afrika kusini haiongozi kwa uchumi afrika
ipi inaongoza?
Kivipi Bosi?Mila zao ndo zinarutubisha maambukizi
Kwa mnyamaniipi inaongoza?
nigeriaipi inaongoza?
Udini utakuuwaAfrika Kusini haiongozi kwa uchumi afrika
Afrika Kusini haiongozi kwa uchumi afrika
dini imekujaje hapa kwenye uchumi!?..hebu google tu uchumi mkubwa afrika ni upi utapata majibu,uwe unafuatilia vitu vya maana sio mondy na tanasha tuUdini utakuuwa