Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,621
- 15,949
Hivi sasa serikali ya Afrika kusini imetangaza ni kosa kisheria kwa raia wa nchi hiyo kusaidia kupigana upande wa majeshi ya Israel huko palestina na kwamba kwa yeyote atakayetiwa hatiani atashtakiwa.
Nashauri huu msimamo ungetangazwa pia na serikali yetu ili kuzuia watu wanaoenda kwa mgongo wa masomo au kufanya kazi halafu wanajiingiza kwenye kazi ya upiganaji.
Nashauri huu msimamo ungetangazwa pia na serikali yetu ili kuzuia watu wanaoenda kwa mgongo wa masomo au kufanya kazi halafu wanajiingiza kwenye kazi ya upiganaji.