Afrika Inazama

Unamjua vizuri Savimbi,au umekaririshwa tu !
 
Kipi cha maana alichowafanyia watu wake
Alipigania kuitoa Angola kwenye mikoni ya Mafisadi,mpaka dakika ya mwisho ya maisha yake,na aliuawa AKIWA ameshika Ak 47 yake!
Unafikiri ni Kwa nini maiti yake imefukuliwa na kuzikwa upya Kwa heshima Kitaifa!
Hii ni baada ya ukweli kujulikana...Hata Nyerere aliwahi kujutia kumuunga Mkono fisadi Do Santos!
Fukua hizi habari usikaririshwe!
 
Hamna kitu hapo hata Hapo Uganda kuna wanaomuona M7 kama Savimbi🤣🤣
 
Hizi dini za kuletewa huoni kama linazamisha taifa letu, watu wamekuwa wajinga kupindukia wakiamini vitu that do not make any sense to us wala kwa hao waliotuletea.
Din hazihusiani ingekua hivyo wapagani ndo wangekua matajiri.

Pia Hata huo ukristo si wa wazungu nao waliletewa ila wanamaendeleo
 
Mbona kaua watu wasio na hatia,kabomoa miundombinu yenye maslai ya watu, kwann asingeua mafisadi tu.
Kwann alikataa kuwa Makamu wa raisi Ili awashughulikie mafisadi.
Savimbi alikuwa ni mbinafsi wa hali ya juu , kilichomua ni udabo agent anatumika na Mrusi kwa siri wakati huo huo anatumika na USA ilipojulikana siri, bullets za kutosha ndo chakula chake awahi kuzimu kumtumikia lucifer, kama mobutu.
 
Kama Mafisadi wamejichanganya na hao wasio na hatia ,utatanyaje!
Hivi Ufisadi aliofanya Dos Santos uneua watu wangapi?!
Yeye alikuwa anapigania maslahi ya Umma sio Umakamu wa Rais!
Kuna Kiongozi yoyote Dunia ya Tatu ambaye alikuwa hafungamani na Mabeberu ,aidha wa Mashariki au Magharibi,au wote...haijalishi Rangi ya Paka ilimuradi anawanasa panya!
 
Tunazama kwenye ujinga na kufuata dini/imani za kuletewa ili tutawalike vizuri zaidi tukiamini vya kuletewa na wenzetu ndiyo mali zaidi. Tukiendelea kupeleka watoto wetu na kuwaaminisha kuwa madrasat ni bora kuliko elimu basi tumekwisha.
Kwamba Uingereza ukristo ulishuka kama MANNA zilivyowashukia Mussa na kundi lake jangwani?.
Kwamba Malaysia uislamu hawakupelekewa walijikuta ni waislamu bila ya wafanyabiashara wa kiarabu kwenda uko?.
Kwanini hao wengine waendelee wakati na wao dini/ wamepelekewa?.
TUSIDANGANYANE.
 
 
Aue kwa upanga ufa kwa upanga.
Aliuwa watu kwa AK nae akachezea AK 47.Vuna upandacho
 
Aka ...acha wale blaza!
Let them eat brother,
Until system changes,
Until exploitation ends,
Because our leaders,
Are not yet ready ,
To die a little,
So that poor citizens may live

#LetThemEatBroUntilMassEmancipation
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…