OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,200
- 103,737
Nafanya kuwanyunyizia vurugu za Simba kutoka vyombo vya habari vya kimataifa ikiwemo international reputedly social media.
Yakubu ni beki wa Azamu FC anaye maliza mkataba wake. Rais wa Ghana.
Ushauri
Simba tuko na hela na mingi( Bi Hindu anasema tunaweza kununua Yanga yote pamoja na bakuli lao) ila tuache papara kama tunataka kuwa mabingwa watarajiwa wa Afrika.