MuganyiziMushiMwaipopo
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 359
- 691
Ajibu alisota nasi wakati wa Njaa... Si vema tukamsahau ila kwa pale nahisi akubali kulaa benchi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 1055892
Nafanya kuwanyunyizia vurugu za Simba kutoka vyombo vya habari vya kimataifa ikiwemo international reputedly social media.
Yakubu ni beki wa Azamu FC anaye maliza mkataba wake. Rais wa Ghana.
Ushauri
Simba tuko na hela na mingi( Bi Hindu anasema tunaweza kununua Yanga yote pamoja na bakuli lao) ila tuache papara kama tunataka kuwa mabingwa watarajiwa wa Afrika.
Mkuu unadhani ajib anaweza muweka bench nani kati ya Niyonzima, rashid juma na Mkude? maana hawa wote wanaouwezo mkubwa lakini pia hubadilika kadri mchezo unavyokuwa mfano kasi ya mpira na ukabaji.Sasa wewe kwa wachezaji wa ndani ungemsajili nani kama kiungo mshambuliaji tofauti na Ajibu? Kumbka wa nje wanatakiwa 8 tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda akatumika zaidi kwenye mechi za Tpl na bonanza kama sport pesa ila michuano kama CAF Champions League and Confederations itakuwa vigumu kuaminiwa labda abadilike.Mkuu unadhani ajib anaweza muweka bench nani kati ya Niyonzima, rashid juma na Mkude? maana hawa wote wanaouwezo mkubwa lakini pia hubadilika kadri mchezo unavyokuwa mfano kasi ya mpira na ukabaji.
Ajibu mara nyingi anacheza mpira ulio poa japo ana assist nying katika vpl
Ajib anapendwa sana na Mo na hata Haji,ni kama wanataka kumpunguzia njaa tu,maana anaweza pishana na back to back 10.
Kama ni mapendekezo ya kocha,sawa
Mkuu. Taharifa zako nyingi nizakweli. Juzi ulikuja na tetesi za tuisenge, naleo tumepata habari kwamba amesha saini simba.
kwa habari ya ajibu na yakubu. Ni hari njema hasa kwa yakubu kusaidiana na paschal wawa na erasto nyoni pale nyuma.
wawa ni beki mzuri sana ila anakosa mtu wa kaliba yake. Ulisema wawa aondoke lakini wawa ni kiraka mzuri sana.
Manji ndio alisema hadharani ana uwezo wa kuinunua Mikia yote Na majengo yao..Bi Hindu yuko menapouse sio wa kumtilia maanani..aseme Mo mibillionaire ya Yanga imchallange...hivi pale kilabuni kwenu mna makochi ya leather maana Jana waziri kaenda Jangwani...
Mkuu hii post bado hawajaiona. Huo mtandao ni uchwaraThe same source ndiyo ilisema habari ya Simba kunyunyiza dawa kwenye vyumba vya timu ya AS Vita. It seems it is such a reputable source. We should take them seriously.
Ikisema linalowafurahisha inakuwa credible.Mkuu hii post bado hawajaiona. Huo mtandao ni uchwara
Iwe kweli, iwe si kweli... Yanga imekosa jeuri ya kusema haondoki au hauzwi?Ikisema linalowafurahisha inakuwa credible.
Hapana .. vipi wabovu walioko simba?Wachezaji wote wazuri wa nchini Tanzania inatakiwa wasajiriwe msimbazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya nini kupiga kelele? Hela ya Mo mnayo. Mchukueni tuone.Iwe kweli, iwe si kweli... Yanga imekosa jeuri ya kusema haondoki au hauzwi?
Kweli ni zamu yetu
Media inareport inachopata kutoka reliable source,na sio kuripoti habari nazozipenda tu. Habari za uwongo za kunyunyizia madawa ilitolewa na Vita wenyewe na msemaji wa Yanga(sio kocha yule Zahera) kivitendo,kosa la hiyo media kuripoti ni lipi?The same source ndiyo ilisema habari ya Simba kunyunyiza dawa kwenye vyumba vya timu ya AS Vita. It seems it is such a reputable source. We should take them seriously.
Vya kimataifa wapi,ni page za Tz tu hizi....kama huamini angalia mwandikoView attachment 1055892
Nafanya kuwanyunyizia vurugu za Simba kutoka vyombo vya habari vya kimataifa ikiwemo international reputedly social media.
Yakubu ni beki wa Azamu FC anaye maliza mkataba wake. Rais wa Ghana.
Ushauri
Simba tuko na hela na mingi( Bi Hindu anasema tunaweza kununua Yanga yote pamoja na bakuli lao) ila tuache papara kama tunataka kuwa mabingwa watarajiwa wa Afrika.