African journalist award: Environment award-winner kenyan

African journalist award: Environment award-winner kenyan

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2011
Posts
12,361
Reaction score
6,441
Wanahabari/waandishi wa habari Tanzania, mkenya ameshinda zawadi ya environment award writing on "Disappearing Ice cap on Mount Kilimanjaro"

Jamani mlima ni wetu wanaoandika kuhusu mlima na kupata zawadi ni Wakenya! Nadhani tumezidiwa kete. Uwezo wetu wa kuandika ni mdogo au? I stand to be corrected!
 
Inasikitisha na kutia aibu.Wakwetu hawajui waandike nini,zaidi ya kuripoti ajali zinazotokea na harusi zinazofungiwa mlimani.
 
shule.baba

Na kweli, kama ndio graduates ninao waona kutoka katika hivi vyuo vikuu utitili, let us wait and see! Hata ukichukulia mfano wa Jicho letu ndani ya habari kutoka StarTv kila jumamosi, unaona kuwa bado tupo mbali kufikia kiwango cha kimataifa!
 
Mtanzania kapambanishwa na msouth kwenye kipengele kimoja hapa... So sad msouth ameshinda..!
 
Kwa kweli Tanzania tuko nyuma aisee,wakenya wamechukua tuzo nyingi tu na hata overall winner of the year mpaka ya michezo amechukua binti mdooogo kabisa wa kwetu kina Mauld Kitenge,Ibrahim Masoud,Saleh Ally wanahangaika na habari za Simba na Yanga tu soo sad! Nimeumia sana!
 
Tz habari wanazojua kuturipotia ni chemba za majitaka zinazofurika tuko kariakoo, mashimo yaliyochimbika barabarani, baasi ndio habari kuu.
 
Wanaandika habari za majungu, umbeaa ,uzush

Wamefocuss kuwaandika wakina WEMA,LULU, DAIMOND
 
Hii ni changamoto kwa waandishi wetu wa habari.... ni viruri kuachana na habari za udaku na kuwa focused internationally.
 
Hii ni changamoto kwa waandishi wetu wa habari.... ni vizurii kuachana na habari za udaku na kuwa focused internationally.
 
sasa kama waandishi wenyewe ndio kina kitenge, kibonde, Gerald hando unategemea nini?
 
umeambiwa kulikuwa na article ngapi za kutoweka barafu mlima kilimanjaro zilizoshindanishwa? unajuaje labda hata hapa zimeandikwa ila hazijapelekwa kwa mashindano? Hapa hawashindanishi kila kilichoandikwa, bali kilichopelekwa kushindanishwa (na visivyofanana).
 
Nimeionea aibu TV yangu jamani Tanzania 00 Mbele ya Rais ! kutwa kuandika habari za mafumanizi Buguruni uwiiii! aibuuuuuuuuuuuuuu
 
Nimeionea aibu TV yangu jamani Tanzania 00 Mbele ya Rais ! kutwa kuandika habari za mafumanizi Buguruni uwiiii! aibuuuuuuuuuuuuuu
"AIBU, AIBU YAKO...HATA WEWE!" Ni kipindi cha ITV hicho lol...hahaha!
 
Back
Top Bottom