Wazee wa kujichubua wanaruka na kukanyagana sasa hivi huko waliko, afu huwa wanatema harufu mbaya sana kama vile ile mikuku mitaira isiyo na baba wala mama(kuku wa kisasa)
Naona ni mwanafunzi huyo, ikiwa ameelewa vizuri ile topic ya equilbrium, sitashangaa akiolewa na mzungu. Ila, nasema ilaaaaa ikiwa hajaelewa, basi ataolewa na mpoki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.