African Barrick Gold (ABG) Mnakera

African Barrick Gold (ABG) Mnakera

Mangungu

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2012
Posts
2,405
Reaction score
3,061
Naomba niwakilishe kilio changu wanajamii wenzangu!!

Kwa mda mrefu sana hawa jamaa wamekua wakitangaza nafasi za kazi katika idara zao mbali mbali!

Nakumbuka walitangaza nafasi ya kazi ya account payable first line leader,waliniita kwenye usaili wao,matokeo yake wakawapa ajira vijana waliokua wakifanya kazi humo humo ndani!!

Wametangaza tena nafasi ya kazi ya Assistant Finance,but kwa habari nilizozidata toka kwa mfanyakazi wa hapo,kaniambia wala nisijisumbue kuomba,nafasi inamwenyewe tayari!

Swali langu kwenu Barrick,kwa nini mnapenda kupoteza nauli za wa watu,gharama za kulala hotelini na chakula kuja dsm kufanya usaili,wakati mnajua kwamba post zenu zina watu tayari?
 
humu ndAni hakuna agent wa barrick. wapigie cm
 
Si ujinga...huwezi jua nani anasoma hizi social media..
Anaweza fanya mageuzi kwa waanga wengine...maana ukisema apige simu hujui nani atapokea...
Social media zinasaidia sana kuweka wazi uozo...mfano mzuri jinsi uhamiaji walivyo take action...


Kojoa kalale hujalazimishwa kujibu!!

Wakati mwingine kukaa kimya,kutakusaidia tusijue ujinga wako!!
 
Si ujinga...huwezi jua nani anasoma hizi social media..
Anaweza fanya mageuzi kwa waanga wengine...maana ukisema apige simu hujui nani atapokea...
Social media zinasaidia sana kuweka wazi uozo...mfano mzuri jinsi uhamiaji walivyo take action...

Well spoken kamanda!!
Mijitu mingine tunapigania maisha ya wote yenyewe inaleta dvn five!! Hili jamaa tukifanikiwa halikawii kutusumbua hapa town kwa kutupiga vizinga!!!
 
Wapo waajir wengi sana ndugu! wenye tabia km hzo na cyo ABG pekeyao, cjui furaha yao ni kuona watu wanajaza bahasha za maombi na kujazana maofcn mwao kwa sura za unyonge na misongo ya mawazo juu ya maisha????????????? TAFADHALINI SANA WAAJIRI SHIDA ZETU ZA AJIRA ISIWE SHULE KWENU YA KU CONDUCT INTERVIEW NA KUJUA MAJIBU YAKE kwa interview zenu za bdae.........................afu pia waugwana Jf cyo mahali pa kukatishana tamaa kiasi hcho ,mwenzio ana shda msaidie kmawazo huwez jua ndan ya jf wapo waajir weng tu tena waelewa ambao watayafanyia kaz kero mithili ya hii:angry::angry::angry::angry:
 
Naomba niwakilishe kilio changu wanajamii wenzangu!!

Kwa mda mrefu sana hawa jamaa wamekua wakitangaza nafasi za kazi katika idara zao mbali mbali!

Nakumbuka walitangaza nafasi ya kazi ya account payable first line leader,waliniita kwenye usaili wao,matokeo yake wakawapa ajira vijana waliokua wakifanya kazi humo humo ndani!!

Wametangaza tena nafasi ya kazi ya Assistant Finance,but kwa habari nilizozidata toka kwa mfanyakazi wa hapo,kaniambia wala nisijisumbue kuomba,nafasi inamwenyewe tayari!

Swali langu kwenu Barrick,kwa nini mnapenda kupoteza nauli za wa watu,gharama za kulala hotelini na chakula kuja dsm kufanya usaili,wakati mnajua kwamba post zenu zina watu tayari?

Gharama ya nauli na hotel hua wanarudisha. Nilikua kwenye interview jumamosi iliyopita.
 
Gharama ya nauli na hotel hua wanarudisha. Nilikua kwenye interview jumamosi iliyopita.

Nilipiga interview sikupewa nauli,gharama za hotel wala chakula! Ulipigia Barrick HQ au sites???
 
Naomba niwakilishe kilio changu wanajamii wenzangu!!

Kwa mda mrefu sana hawa jamaa wamekua wakitangaza nafasi za kazi katika idara zao mbali mbali!

Nakumbuka walitangaza nafasi ya kazi ya account payable first line leader,waliniita kwenye usaili wao,matokeo yake wakawapa ajira vijana waliokua wakifanya kazi humo humo ndani!!

Wametangaza tena nafasi ya kazi ya Assistant Finance,but kwa habari nilizozidata toka kwa mfanyakazi wa hapo,kaniambia wala nisijisumbue kuomba,nafasi inamwenyewe tayari!

Swali langu kwenu Barrick,kwa nini mnapenda kupoteza nauli za wa watu,gharama za kulala hotelini na chakula kuja dsm kufanya usaili,wakati mnajua kwamba post zenu zina watu tayari?

Pole sana mkuu kwa usumbufu ulioupata.
japo sio msemaji wa Barrick lakini naamini kwa maelezo ntakayokupa yanaweza yakakufungua macho kwa kile kinachoendelea kwenye hii kampuni.
AFrican BArrick kwasasa wapo kwenye mchakato wa kubadili management structure nzima kuanzia C.E.O mpaka mfanya usafi hivyo basi kinachofanyika izo kazi zinazoandikwa 'first line leader' si kwamba kuna vacacny noo...ni title ya cheo fulani imebadilishwa ili kuendana na new structure yao wanayoitaka, ila mtu yupo na bado anaendelea kuwa yuleyule aliyekuwepo kwenye ile position...naamin kidogo utakuwa umepata picha ya kinachoendelea...ilo la kupotezewa hela za nauli na hoteli..mmmmmh sina hakika nalo maana naamini ABG wanakulipa mara mbili ya kila kitu utakachogharamia ila tu uwe na vithibitisho vya hayo matumizi kama vile risiti nk
 
Pole sana mkuu kwa usumbufu ulioupata.
japo sio msemaji wa Barrick lakini naamini kwa maelezo ntakayokupa yanaweza yakakufungua macho kwa kile kinachoendelea kwenye hii kampuni.
AFrican BArrick kwasasa wapo kwenye mchakato wa kubadili management structure nzima kuanzia C.E.O mpaka mfanya usafi hivyo basi kinachofanyika izo kazi zinazoandikwa 'first line leader' si kwamba kuna vacacny noo...ni title ya cheo fulani imebadilishwa ili kuendana na new structure yao wanayoitaka, ila mtu yupo na bado anaendelea kuwa yuleyule aliyekuwepo kwenye ile position...naamin kidogo utakuwa umepata picha ya kinachoendelea...ilo la kupotezewa hela za nauli na hoteli..mmmmmh sina hakika nalo maana naamini ABG wanakulipa mara mbili ya kila kitu utakachogharamia ila tu uwe na vithibitisho vya hayo matumizi kama vile risiti nk

Asante mkuu kwa kunitoa tongotongo
 
hata mimi nilifanya interview yao walinirudishia garama zangu zote
 
Back
Top Bottom