Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Dakika za Cameroun kutolewa zinahesabika sasa...
 
Ila Cameroon wakishindwa kusawazisha na game ya Mali na Guinea ikaisha 1-1 basi itapigwa kura kesho kutafuta mshindi wa pili.
 
Washindi watapatikana kwa upigaji wa penalti 5 kwa kila timu kutoka kwenye hizo mechi 2.
Haya mambo ya penati bana hayana mwenyewe ukikumbuka na alichofanya Chollo leo. Ila naona Ivory Coast wanakaribia ushindi.
 
Haya mambo ya penati bana hayana mwenyewe ukikumbuka na alichofanya Chollo leo. Ila naona Ivory Coast wanakaribia ushindi.

Mkuu nilikuwa najaribu kusahau. Hatupo serious tupo tupo tu.Inasikitisha sana.
 
Itapigwa kura kesho kama ilivyofanyika 1988 ambao Algeria na Ivory Coast zilipigiwa kura na Algeria ikabahatika kusonga mbele.
 
Guinea na Mali wamefungana kila kitu hivi kitachofuata ni kurusha shilingi?
 
Itapigwa kura kesho kama ilivyofanyika 1988 ambao Algeria na Ivory Coast zilipigiwa kura na Algeria ikabahatika kusonga mbele.

Duh! Kina nani ndo huwa wanapigaga kura? Na je inaonyeshwa laivu??
 
Tatizo kubwa kimaandalizi ni timu kungojea mpaka kesho. Kwanini kura isifanyike baada ya mechi ili timu itakayoshinda ianze maandalizi mara moja na sio kulala na tension ya kutolewa au kufuzu?
 
The fact that all teams are on an equal footing makes it a particularly bizarre situation, but the rules according to CAF are as follows:

- Once points are not enough to split the teams, it comes down to head-to-head results.
- After that, it is based on goal difference and then goals scored of the teams
- If teams are still level at the end of the group stages, there is only one option: drawing of lots by the organising committee.


Hapa ngoma inakwenda kwenye tombola !
 
Hii inakumbusha ile ngoma ya Yanga na Ahsante Kotoko mwaka 1968.

Jamaa wanadai yule kepteni wa Ahsante kotoko aliwahi kushangilia kabla shilingi haijaanguka kisawasawa kwenye ground na iliyobakia ni historia.
 
Hii inakumbusha ile ngoma ya Yanga na Ahsante Kotoko mwaka 1968.

Jamaa wanadai yule kepteni wa Ahsante kotoko aliwahi kushangilia kabla shilingi haijaanguka kisawasawa kwenye ground na iliyobakia ni historia.

Tena kule Addis Ababa. Umenikumbusha mbali. Nilikuwa mwaka wa 2 University of Dar es Salaam nikisomea sheria. Umenifanya mwili unisisimke.
 
teh teh teh africa bado sana kimpira, ila sasa na wewe mdau ni wa kitambo kiasi hicho duuuh
mkuu

[TABLE="class: basic2, width: 620"]
[TR]
[TD="colspan: 22, align: left"]f two or more teams end the Group stage with the same num of points, their ranking is determined by the following criteria:
1. Points earned in the matches between the teams concerned;
2. Goal difference in the matches between the teams concerned;
3. Number of goals scored in the Group matches between the teams concerned;
4. Number of away goals scored in the matches between the teams concerned;
5. Goal difference in all Group matches;
6. Number of goals scored in all Group matches;
7. Drawing of lots.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: basic2"]
[TR]
[/TR]
[/TABLE]


sasa ulitaka watumie njia gani??? au fifa ranking???ball possesion????
 
Back
Top Bottom