MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Kisamo namfahamu vizuri huyu bwana alikuwa hana ugomvi na mtu ni mtaratibu aliyekuwa anajitoa sana kanisani. Tumempoteza mtu mwema mcha Mungu. Ndoa yake haina hata miaka 4. Damu yake itamlilia Mungu daima na haitapotea bure. We will Miss you Emmily