Afisa wa Wanyama Pori TANAPA auawa kwa kuchinjwa kinyama

Police hawezi kujibu kila tukio la mauji , wizi na criminal kesi zote ambalo zinatokea hapa Tanzania bila ushirikiano kutoka kwa raia. Haileti tija kuwalaumu police au kuilalamikia serikali wakati raia ambao ndiyo walinzi namba moja hawashiki kwa lolote, siyo kwa kuzuia au kutoa taarifa. Mauaji hajakutokea sayari nyingine, kwa nini wauaji wasifahamike? Haiwezekani police wawepo kila mahali kwa wakati. Hakuna kitu kama hicho duniani. Lililopo raia wema watoe taarifa zitakazowezesha wauaji wakamatwe.

Huu ni upotoshahiji mkubwa kwa nchi yetu bado criminal act nyingi ni primitive, uchunguzi ake hauhitaji hat uwe na degree kungamuaa kuwa ni rahisi kuwapata watuhumiwa.
mfano kwenye hili, hivi unashindwa vipi kupata alama za vidole ? unashindw avipi kupata DNA trace, uanshindwa vipi kupata simu za mononi zilizokuwa around tukio kwa usiku huo na ukachambua na kupata muuaji wako?

tubadilike tuache kutetea jeshi dhaifu la polisi unless wawe wnafanya makusdi kitu ambacho wanchi tumekuwa tukiamini sikuzote.

by the way inakuingia akilini eti gari ikutwe kitaa then apigiwe simu mke wake alete funguo wa akiba?
walijuaje kuna funguo w akiba?
kwanini hawakuvunja mapema hilo gari na iuangalia kuna nini?
 
Magufuli aufumue usalama wa taifa haraka kabisa,kama kuhujumiwa ktk vita vyake dhidi ya wahujumu uchumi basi hao ndio wanaomhujumu maana wengi wao ni washirika wakubwa wa wahujumu uchumi na ndio wanaozijua siri nyingi zikiwemo kuhusu wale wanaoshikilia siri muhimu.
 
Hii habari nimeipata punde kuwa kuna Afisa wa wanyama pori kitengo cha upepelezi TANAPA mkoani Arusha amechinjwa kwa kuhisiwa kuwa ndio alikuwa na orodha ya vigogo nchini waliokuwa wanajihusisha na biashara haramu ya pembe za ndovu.

Ndicho nilichokisoma huko twita jana
 
Kuna shemeji yake hapa ananiambia tulimtafuta toka juzi chief jana tukiwa polisi ndo tukaona gari linavutwa na majembe wakidai limetelekezwa njiro mke akaenda kutafuta funguo za spea ndo jamaa kakutwa kwenye buti.......

Kifo cha kikatili sanaa
 
Head of intelligence wa TANAPA, anauwawa kwa kuchinywa within weeks of kuuwawa kwa faru wawili serengeti. Hapa hatuhitaji degree ya criminology kuona uhusiano uliopo. Kwa ulinzi wa faru wa jk hakuna shaka kuwa baadhi ya park rangers wa serengeti wanahusika kwa karibu ktk kuuwawa kwa faru, na huenda mkuu wao wa intelligence alifahamu hilo na kuwa mkali na kuwatishia kuwa mwisho wao umewadia. Maskini hakujua mtandao huo unanguvu kiasi gani. Pembe ya faru ni about Tsh. 300,000,000/=, kwa kiasi hiki mtu muovu atafanya lolote kujilinda. RIP BROTHER, WE WILL ALWAYS MISS YOU AT MARANGU.
 
Naomba nijibu kisiasa japo kwa nukta chache!
Hivi unakubali kuwa yote yanayosemwa na polisi dhidi ya chadema ni kweli?
Mpwa naomba nikujibu kwa dhati ya moyo wangu kabisa, kuwa Polisi hawajawahi kuwa wakweli dhidi ya Chadema, hakuna hata siku moja ambapo walisema jambo zuri kwa chadema. asante
 
Wanaweza kuwa wanakosea lakini pia wanaweza kuwa wako sahihi. Halafu kumbuka njia za kudeal na public haziwezi kuwa sawa na private. Halafu huwezi jua mhanga alikuwa na michakato gani mingine ya maisha ambayo mara zote huwa ni siri ya mhusika. Sasa anapopata matatizo kuwalaum polisi wakati katika harakati zako huwahusishi hapo sikuelewi kabisa.

Kwenye mikutano sawa, tunaweza kuwalaum kuwa huenda kuna siasa ndani yake lakini kwenye maisha ya mtu binafsi kuingiza habari hizo kwa mawazo yangu si sahihi mkuu Elli
Mpwa naomba nikubaliane na wewe ila pia nitofautiane na wewe kwa jambo moja tu, unapokuwa kiongozi kwa ngazi yeyeoteile unakuwa ni mtu wa watu na sio wewe tena, na kamwe hizo kofia mbili unakuta hazitenganishiki kwahio suala lake huyu Marehemu haliwezi kuwa suala lake binafsi labda kama unambie kuna mahali imekua confirmed kuwa aliuwawa kutokana na issue zake binafsi kama sivyo basi inabaki kuwa suala kubwa kwa jamii nzima. Kwahio nakubaliana na wewe kuwa kuna nyakati hawa viongozi wetu wanakua na mambo yao binafsi lakini kutokana na position zao huwa ngumu kujua ni lini anafanya kama yeye binafsi na ni lini anasema kama kiongozi.

Hata hivyo nimefurahishwa na upembuzi wako.
 
Back
Top Bottom