Afisa wa Takukuru ajiua kwa kujipiga risasi

Francis Kitundu kajiua.

Kajiua mara baada kutoka kwenye kikao.

Kajiulia ofisini.

Kajiua muda/ saa na mahali pa kazi.

FRANCIS, mbona haijaelezwa ni wakinanani waliosikia huo mlio. Nani alikuwa wa kwanza kuingia kwa ofisi yako? Kwanini ujiue? Ni risasi ngapi zimetumika?

Maswali hayaishi....

Kajipiga risasi ya kidevu... hivi anayetaka kujiua anajipiga risasi kidevuni?
Kuna ka uwezekano kuwa akawa amekufa si kwasababu ya risasi ila kwasababu ya kutokwa damu kwa wingi, je jeraha lake lilikuwa na ukubwa gani?

Ni maswali maswali maswali.
 
Ni masikitiko kwa familia na Taifa maana lilihitaji ushiriki wake katika uzalishaji.

Nitoe angalizo; kumekuwa na ugawaji holela wa Bastola kwa raia na maofisa wa ofisi nyeti za serikali. Kwa TAKUKURU bastola imekuwa ni kifaa kama kalamu maana kila afisa Mkuu wa Wilaya anapewa. Wengi wao hawana vifua vya kuhimili hasira na wengi vidole vyao vinawashwa kuvuta "trigger" hata katika mabishano ya kawaida. Bastola mtaani zimekuwa kama Fimbo na Mwalimu wa St. Kanumba! Tuangalie upya ugawaji wa Bastola. Zitatumaliza wenyewe!
 

Amekosea sana, angempiga risasi jamaa wa Magogoni kabla ya kujiua.
 
iundwe tume ya kuchunguza kifo. Hicho kikao kilikuwa na nini kilichopelekea ajiue? Au karushwa fungu lake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…