Afisa wa Serikali au Halmashauri kugoma kutekeleza hukumu ya mahakama je mahakama huchukua hatua gani?

Lord OSAGYEFO

JF-Expert Member
Feb 19, 2021
3,086
4,881
Wadau Nawasalimu.Naomba kufahamishwa Juu ya HATUA ambazo MAHAKAMA itazichukua Dhidi ya AFISA wa Serikali au TAASISI yake ambayo ni HALMASHAURI ya Mji Kugoma kutekeleza HUKUMU iliyotolewa na MAHAKAMA juu ya MGOGORO wa ARDHI ?

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Samahani Mkuu
wakati najiandaa kukutumia Nakala ya Hukumu nilikuwa nimelipeleka Suala langu PCCB ili ufanyike Uchunguzi kwanini Watendaji wa Halmashauri hawataki Kutekeleza Hukumu kama iliyotolewa na Mahakama kuu Uchunguzi wa Awali inaonekana Mwanasheria wa Halmashauri ndiye anawapotosha Watendaji kwa Maslahi anayoyapata kwa wale tulioshtakiana na Kuwashinda na wametaja Rushwa waliyompa Amesimamishwa kazi kupisha uchunguzi


Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Haya mambo yanakwaza sana mzunguko mwingi ktk kutekeleza hukumu.Unakuta mtu kama mgao wa viwanja kaewa kadha lakini akitaka kuuza anaambiwa fanya hivi mara vile.
 
Back
Top Bottom