Capslock
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 3,098
- 4,837
teh teh teh ......Kwimba ipo Ngudu, mkoa wa mwanza. Jirani na magu au misungwi
Kwimba ipo Ngudu au Ngudu ipo Kwimba, mkoa wa Mwanza? [emoji23]
teh teh teh ......Kwimba ipo Ngudu, mkoa wa mwanza. Jirani na magu au misungwi
Kwan nina nn
punguza munkali.....ufanyiwe uhakiki......usije ukawa mtumish hewa unatafuta penshen....Naandika uzi huu nikiwa na hasira mno.
Hasira na gadhabu yangu imepandishwa na huyu afisa mikopo wa benki yetu makapuku ya NMB. Hivi sijui tuite uzembe au dharau ama kiburi cha majinuni.
Mtu unaoprocess mkopo wiki mbili mkopo hauupati. Eti afisa mikopo Yupo!!
Mbaya zaidi unapigiwa simu saa za kazi hupokei.
Kila nikiomba mkopo huwa kuna mazingira ya rushwa unayaunda kiasi kwamba huwa unawachelewesha mikopo ili upewe kitu kidogo ndo uniwekee fedha.
Binafsi umenikera mno.kwa majibu unayotoa sometime ukibahatika kupokea simu yangu.ooh Mara fomu bado ziko halmashauri, wiki mbili??. Afu umekaa kitini comfortably kabisa?
Bora Kama mkopo umeshindikana unasema.
Kumbuka tunaokupa jeuri ya kuitwa afisa ni Sisi walala hoi!.
Ushauri wangu 😛unguza dharau kijana utadumu.
Ndimi :muhakikiwa wa kila Mara!
Yaani kuna vimtandao haswa benki ya pbz eti pesa ikiingia utaona visimu vinaanza.tayari nimesha kuwekea sasa kumbe hakuna lolote mkopo umechelewa kwa njaa zetu eti ye ndio kaweka
Hata mimi jamaa wa Bank ya posta alikuwa anazingua kweli ikabid niende kwa manager mbona alinipa mkopoNisaidie ulifanyaje
Bora kunieleza wazi mapema kuliko kunijazisha mifomu lukuki afu nisifanikiwe lengo langu.by the way mi ni mwajiriwa WA serikali Kwa hiyo kwenye marejesho huwa ni juu Kwa juu.Duh, ila ninachofahamu issue ya Ku approve mkopo sio afisa peke yake. Kuna issue za credit committee kujiridhisha at a reasonable doubt and risk. Pia wakati mwingine ulipaji Wako on previous loans unaweza ukasababisha mkopo Wako kuchelewa. Tatizo wakopaji wachache wanajielewa ila majority wanasumbua sana. Kuna wakati unafika branch inabidi isitishe Ku issue new loans ili waweke nguvu kwenye kudai wateja wasumbufu. In that case issue zingine huwa zinawekwa pending
Punguza njaa kijana...unafikiri Pasco anatoa hizo pesa nyumban kwake..fata utaratibu tulia..km umenuna nenda kwenye bar ya pasco upate kili baridi..au depo kwake akupe kreti kabisa.Bora kunieleza wazi mapema kuliko kunijazisha mifomu lukuki afu nisifanikiwe lengo langu.by the way mi ni mwajiriwa WA serikali Kwa hiyo kwenye marejesho huwa ni juu Kwa juu.
Usiteteee upuuzi