Afisa mkopo NMB Ngudu punguza dharau

Afisa mkopo NMB Ngudu punguza dharau

Unaonaje njia za kuwarekodi na kuwapeleka takukuru au kwenye media.
 
Ngudu ipo mwanza wilaya kwimba in shòrt uyo Pasco ni mchaga mpuuzi sana alisha nizingua sana are Mimi nikaenda crdb jana maana kbs alishazoea madili we mtangazie home jst siku moja tu umechukua mzigo
Mkuu Kwani mikopo imesha anza kutolewa? Nilisikia imesitishwa....
 
Naandika uzi huu nikiwa na hasira mno.

Hasira na gadhabu yangu imepandishwa na huyu afisa mikopo wa benki yetu makapuku ya NMB. Hivi sijui tuite uzembe au dharau ama kiburi cha majinuni.

Mtu unaoprocess mkopo wiki mbili mkopo hauupati. Eti afisa mikopo Yupo!!

Mbaya zaidi unapigiwa simu saa za kazi hupokei.

Kila nikiomba mkopo huwa kuna mazingira ya rushwa unayaunda kiasi kwamba huwa unawachelewesha mikopo ili upewe kitu kidogo ndo uniwekee fedha.

Binafsi umenikera mno.kwa majibu unayotoa sometime ukibahatika kupokea simu yangu.ooh Mara fomu bado ziko halmashauri, wiki mbili??. Afu umekaa kitini comfortably kabisa?

Bora Kama mkopo umeshindikana unasema.

Kumbuka tunaokupa jeuri ya kuitwa afisa ni Sisi walala hoi!.

Ushauri wangu 😛unguza dharau kijana utadumu.

Ndimi :muhakikiwa wa kila Mara!
Nchi ya Kitu kidogooooooooooo,
Ni Nchi ya watu wadogooooooo,
Huu wibo mtamu sana
 
dah namfahamu vizuri anaitwa paschal bila ya kumtoa elfu 50 au kilo mkopo utazungushwa mpaka uchoke, anasingizia hela hiyo anawapa utumishi wa kuingiza makato na meneja wa benki. katupiga sana hela, sasa hv kafungua bonge la hotel na club ndo kaongeza madharau balaa
 
kufanya kazi serikalini hasa halmashauri ni mateso sana yaani mkopo wa mshahara unawapa watu rushwa kweli???

dah namfahamu vizuri anaitwa paschal bila ya kumtoa elfu 50 au kilo mkopo utazungushwa mpaka uchoke, anasingizia hela hiyo anawapa utumishi wa kuingiza makato na meneja wa benki. katupiga sana hela, sasa hv kafungua bonge la hotel na club ndo kaongeza madharau balaa
 
Naomba nafasi zote wakabidhiwe watu wanaofanya kazi kama wanajeshi kwa maana wao uvivu hawana na wanafuata amri
 
Back
Top Bottom