Mabala The Farmer
Member
- Jul 10, 2012
- 33
- 8
Poleni wadau wa jamvini kwa mihangaiko ya kutwa Nzima. Napenda kutoa dukuduku langu kuhusu afisa mtajwa hapo juu kwani amekuwa na kauli chafu sana kwa wadau walipa kodi nchini. Mama huyu ambaye naamini nafasi hiyo kapewa bila taaluma na wakubwa anayeitwa Rose Mahendeka anatushawishi sisi walipa kodi wa nchi hii kujaribu kuthubutu kukwepa kodi kutokana na kauli mbovu anazotoa kwetu tunapokuwa na malalamiko ya kucheleweshewa Document (Kadhia) ktk kituo cha Forodha.Kwanza tunashangaa taasisi kubwa kama TRA kuajiri watu kwa FACEBOOK ili hali ikijua kuwa ni kitovu cha uchumi wa nchi hii. Kamani wadau mtu mgawa chai kesho valuation officer halafu ukitoa malalamiko huyo dada anadai kukejeli keeli nimeumia sana na naomba kuwasilisha....HATUMTAKI ALIYE MWEKA AKAMUONDOE........+**u****?