AFCON 2015 Qualifiers: Msumbiji vs Tanzania

ninawasiliana na mtu yupo uwanjani

tumepigwa 1
 
Dar madereva wamekuwa wengi mnatuchannganya

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Ina maana tbc wameshindwa kutuonyeshaa hiyo gem
 
Tanzania hata iweje ni wabovu sana
 
wachezaji wa azam ndo wanajitahidi wale wakariakoo wanaruka ruka tu.

@GAAZETI

Dida anaokoa goli hapa na inakuwa kona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…