Nimeenda huko napo wapo wachaache sanaKuna uzi mwingine hapo chini wa hii fainali, nadhani wengi wapo huko.
Walikimbiza sana mechi ya nusu fainali nadhani wanaweka akiba nguvu kwa ajili ya kipindi cha lala salamaBukinabe leo defence yao inapwaya lazima wiarekebishe, halkafu ile kasi leo hawana kabisa
Basi watuunganishe! Mechi ina noga kuangalia kama watazamaji mko nyomi !Nimeenda huko napo wapo wachaache sana