Ziroseventytwo
Platinum Member
- Mar 27, 2011
- 9,398
- 17,791
Nijeria wanakosa goli hapa,dk ya 9 0-0
Mcheki ni Jezi namba 11 anachezaAhsante kwa taarifa, siku ile refa yule alinipandisha hasira sana!
Ingekua fainali UEFA ungeona watu walivyojanzana hapa lakini kisa Africa hakuna hata anayeguswa,There are currently 32 users browsing this thread. (9 members and 23 guests)
Nijeria wanakosa goli hapa,dk ya 9 0-0
Kuna uzi mwingine hapo chini wa hii fainali, nadhani wengi wapo huko.Ingekua fainali UEFA ungeona watu walivyojanzana hapa lakini kisa Africa hakuna hata anayeguswa,
Kweli miafrika ndovyo tulivyo