AFCON 2013: Kutoka Africa Kusini

AFCON 2013: Kutoka Africa Kusini

Halafu ktk thread hii wale manguli wa ushabiki wa soka siwaoni kabisa,wapi idimi,mentor,balantanda,mfarisayo,bak,pazi,peasant etc!au wote hao ni diaspora?

Hao sio washabiki wa soka, wengi wao ni wapenzi wa televisheni au individual timu na wachezaji. Huwa nashindwa kumuelewa mtu anafunga ndoa na timu za Ulaya ambazo hata kuziona zikicheza live hajawahi, yet anajiita mdau wa soka.
Wanatumia nguvu nyingi, hisia na akili kujadili michezo ya Ulaya na timu za huko ambazo hata haziwatambui wala kuwaheshimu wakati kwetu michezo ikididImia. Sijui nafasi yao ni ipi katika kuinua soka let na michezo mingine iliyo dhoof il hali? Lakini bado wanajiita GT, Greatthinker gani anajiita Chelsea damu wakati kwo Nyarugusu pia kuna timu na hata hajisumbui kiutazama, na yeye akijiita mshabiki damu sijui wale wanaokaa front stand kila wiki wajiitaje?

Mimi hawa siwatofautishi na mateja ambao baada ya kula bwimbwi hujihisi wako New York, au masista duu wa Sinza ambao maisha yao ni kama ya kwenya tamthilia.
#NO HARD FEELINGS
 
Hao sio washabiki wa soka, wengi wao ni wapenzi wa televisheni au individual timu na wachezaji. Huwa nashindwa kumuelewa mtu anafunga ndoa na timu za Ulaya ambazo hata kuziona zikicheza live hajawahi, yet anajiita mdau wa soka.
Wanatumia nguvu nyingi, hisia na akili kujadili michezo ya Ulaya na timu za huko ambazo hata haziwatambui wala kuwaheshimu wakati kwetu michezo ikididImia. Sijui nafasi yao ni ipi katika kuinua soka let na michezo mingine iliyo dhoof il hali? Lakini bado wanajiita GT, Greatthinker gani anajiita Chelsea damu wakati kwo Nyarugusu pia kuna timu na hata hajisumbui kiutazama, na yeye akijiita mshabiki damu sijui wale wanaokaa front stand kila wiki wajiitaje?

Mimi hawa siwatofautishi na mateja ambao baada ya kula bwimbwi hujihisi wako New York, au masista duu wa Sinza ambao maisha yao ni kama ya kwenya tamthilia.
#NO HARD FEELINGS

kaka,kama kungekuwa na kidude cha multiple likes kukawa kuna cha like 100 kwa mpigo,200,300 hadi 1000 ningekugongea cha likes 1000 for your above comments.need i say more????
 
Dah nilitegemea leo DStv watonyesha mechi ya zambia naona wamentosa !
 
Ethopia wanaoneka kutulia leo wanaweza wakawashaangaza watu
 
Bukinabe wamefunga vitambaa vyeusi vya nn? tena ni baadhi tu! wadau tujuzeni
 
Mpaka dakika hiii bila bila waethoipia wameamua kukomaaa
 
zanta, hao waethiopia waafrika kweli? he he

half ya kwanza haijanichangamsha..tuone 2nd half
Hahaha Belinda hawa wenzetu kabisa, huoni kila siku tunawakamata wanafia kwenye malory wakisafirishwa! Pale kariakoo mtaa wa mkunguni wamejaa kibao! Ona uwanja ulivyojaa wenyeewe ndugu zetu hawa sio kama waarabu!
 
Mpira umeanza kwa kasi! Naona kabisa Dalili ya Waethopia kufanya maajabu hapa,
 
Benchi la ufundi la Wa Ethopia limejaa wazee wote kuanzia kocha
 
Dakika ya Sabini hakuna mtuaaliyeona nyavu ya mwenzake, Nigeria inabebwa na historia tu hakuna mpira wanocheza
 
Zambia wanajitahidi sana kupata goli lakini Burkina Faso wamekaza msuli. Kwa matokeo haya ya suluhu Zambia anatolewa rasmi. Kwa kweli, Zambia tulikupenda lakini Mola amekupenda zaidi, RIP Chipolopolo.
 
Back
Top Bottom