Shikamoo mzeeee..... dahAlipaswa kutoa mwongozo kuwa achomweje kwakuwa hata hao wanaochoma kama mabudha, wahindu nk wana dini zao... Na kuna ibada maalum ya mazishi ya kuwachoma marehemu wao.... Nimefanya sana hii kazi
Wasio na dini miili yao hufukiwa ama kutupwa porini iwe chakula cha wanyama....
Asitafute kiki wala kuwapa watoto mzigo wa mawazo
Ana uhakika gani atakufa yeye kabla ya wao
Ana hakika gani atakufa kifo cha maiti yake kupatikana?
Mwisho kama yuko serious anitafute tufunge mkataba nimpe na proforma invoice ya shughuli yote... Nitaifanya hiyo kazi kwa uaminifu na weledi mkubwa
Kweli kbsa.....Nampo geza kwa uamuzi mzuri.
Kuchomwa moto kutapunguza matumizi ya ardhi kama makaburi, na kuwaachia watu walio hai ardhi waitumie.
Huu ni uamuzi wa kujikana nafsi, kukataa ubinafsi.
Kuna watu walizikwa makaburi ya Tambaza, ikaja kutokea haja ya kupitisha barabara katikati ya makaburi yale, pale Don Bosco kwa juu barabara ya Maliki kati ya Shule ya Msingi Muhimbili na msikiti wa Tambaza.
Kwa kuwa palikuwa na makaburi, na barabara ilihitajika kupita pale, ilibidi makaburi yafukuliwe halafu mabaki ya maiti yazikwe upya, ili kupisha barabara ijengwe.
Kama wale watu wangekuwa wamechomwa moto, kungekuwa hakuna udhia huo.
Nilishawahi kupiga mahesabu na kuona kwamba ikiwa kila mtu atazikwa katika kaburi, kwa miaka 100, dunia nzima itatumia ardhi kama nchi ya Gambia kwa kuzikia watu tu.
Kibaya zaidi, ardhi hii mara nyingi inakuwa karibu na makazi ya watu na inazuiliwa kutumika kwa shughuli nyingine za maendeleo.
Mimi nilishaacha wosia siku nyingi nikifariki nichomwe moto na majivu yangu yatupwe Long Island Sound.
Tatizo tunajipendelea na kujiona special sana, ukishakufa ndiyo habari imeisha, sasa mikaburikaburi unataka kukaba nafasi wenzio wanaoishi wasijinafasi kwa sababu gani?Kweli kbsa.....
Unakumbuka sekeseke lile la kutaka kuhamisha makaburi yale ya ilala karume
Eneo lile ni legitimate pale palifaa kusimama gorofa .....watu wanaishia kutolea macho maeneo tu
Ova
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Alipaswa kutoa mwongozo kuwa achomweje kwakuwa hata hao wanaochoma kama mabudha, wahindu nk wana dini zao... Na kuna ibada maalum ya mazishi ya kuwachoma marehemu wao.... Nimefanya sana hii kazi
Wasio na dini miili yao hufukiwa ama kutupwa porini iwe chakula cha wanyama....
Asitafute kiki wala kuwapa watoto mzigo wa mawazo
Ana uhakika gani atakufa yeye kabla ya wao
Ana hakika gani atakufa kifo cha maiti yake kupatikana?
Mwisho kama yuko serious anitafute tufunge mkataba nimpe na proforma invoice ya shughuli yote... Nitaifanya hiyo kazi kwa uaminifu na weledi mkubwa
ZipoHivi Tanzania kuna sehem maalum ya kichoma moto maiti (CREMATION)???
Wanao acha will huwa ni wapumbavu ? Ni wapumbavu kama wewe...! Na siwezi kufa kabla yake... That much I can assure you[emoji35][emoji34]Ukifa wewe kabla yake ? Au wewe una uhakika wa kuishi ? Ila afande Sele hana hivyo kafanya kosa kuwaambia wanawe ?
Wanao acha will huwa ni wapumbavu ?
Nilikuchukulia mpumbavu fulani siku nyingi hapa ndio umedhihirisha leo "that much I can assure u " What a garbageWanao acha will huwa ni wapumbavu ? Ni wapumbavu kama wewe...! Na siwezi kufa kabla yake... That much I can assure you[emoji35][emoji34]
Mkuu haya mambo ya kuwawekea mashariti na maagano watoto sio mazuri kabisa.Alipaswa kutoa mwongozo kuwa achomweje kwakuwa hata hao wanaochoma kama mabudha, wahindu nk wana dini zao... Na kuna ibada maalum ya mazishi ya kuwachoma marehemu wao.... Nimefanya sana hii kazi
Wasio na dini miili yao hufukiwa ama kutupwa porini iwe chakula cha wanyama....
Asitafute kiki wala kuwapa watoto mzigo wa mawazo
Ana uhakika gani atakufa yeye kabla ya wao
Ana hakika gani atakufa kifo cha maiti yake kupatikana?
Mwisho kama yuko serious anitafute tufunge mkataba nimpe na proforma invoice ya shughuli yote... Nitaifanya hiyo kazi kwa uaminifu na weledi mkubwa
Sio kosa lako na wala hupaswi kulaumiwa... Nimekujibu ulichouliza kama hujakipenda hainihusuNilikuchukulia mpumbavu fulani siku nyingi hapa ndio umedhihirisha leo "that much I can assure u " What a garbage
Mkuu binafsi huwa naamini Dunia inarecycle kila kitu kwani binadamu anapozikwa wale worms wanachukua nutrients, energy e.t.c from decaying body ambazo yule binadamu alizokusanya katika maisha yake Yote aliyoishi Duniani na kuzirudisha kwenye udongo ili ardhi ipate rutuba.Nampo geza kwa uamuzi mzuri.
Kuchomwa moto kutapunguza matumizi ya ardhi kama makaburi, na kuwaachia watu walio hai ardhi waitumie.
Huu ni uamuzi wa kujikana nafsi, kukataa ubinafsi.
Kuna watu walizikwa makaburi ya Tambaza, ikaja kutokea haja ya kupitisha barabara katikati ya makaburi yale, pale Don Bosco kwa juu barabara ya Maliki kati ya Shule ya Msingi Muhimbili na msikiti wa Tambaza.
Kwa kuwa palikuwa na makaburi, na barabara ilihitajika kupita pale, ilibidi makaburi yafukuliwe halafu mabaki ya maiti yazikwe upya, ili kupisha barabara ijengwe.
Kama wale watu wangekuwa wamechomwa moto, kungekuwa hakuna udhia huo.
Nilishawahi kupiga mahesabu na kuona kwamba ikiwa kila mtu atazikwa katika kaburi, kwa miaka 100, dunia nzima itatumia ardhi kama nchi ya Gambia kwa kuzikia watu tu.
Kibaya zaidi, ardhi hii mara nyingi inakuwa karibu na makazi ya watu na inazuiliwa kutumika kwa shughuli nyingine za maendeleo.
Mimi nilishaacha wosia siku nyingi nikifariki nichomwe moto na majivu yangu yatupwe Long Island Sound.
Kifo kinatisha!