Afande Sele amtukana matusi mazito Sugu

Sugu haongeagi kuhusu sele,sele anaona wivu sugu ana hela,sele anatabia za kike,anasema eti sugu ana sura mbaya,mfupi,amepata mtoto uzeeni,sasa si tabia za kike hizi za kina mwajuma kule vingunguti
Kwa nini kila tabia mbaya mnaiita ya Kike?
Wanawake tunanyanyasika sana Africa.
 
Kwa nini kila tabia mbaya mnaiita ya Kike?
Wanawake tunanyanyasika sana Africa.
Sio tusi ndo ukweli,wengi ndo mlivyo kujadili maumbile ya watu pamoja na misemo yenu na maneno ya shombo sijui kajambie mbele mara kajamba nani yaani vurugu tu,naonanaga wamama wanawasema kwamba mtoto wa mama flani ana sura mbaya sijui nini upuuzi tu
 
Sio tusi ndo ukweli,wengi ndo mlivyo kujadili maumbile ya watu pamoja na misemo yenu na maneno ya shombo sijui kajambie mbele mara kajamba nani yaani vurugu tu,naonanaga wamama wanawasema kwamba mtoto wa mama flani ana sura mbaya sijui nini upuuzi tu
Hayo mambo ya wanaume.
 
Sugu kamzidi Afande sele asilimia 90% na zaidi ya mafanikio labda Afande Sele alichomzidi Sugu in kuwa na watoto wakubwa na wengi kama mwanae Tunda, Sele hayuko sawa anatamani atoke kama hawa wakuu wa wly wanaojiita me mkuu wa mkoa ila sasa Sele shule hamna ndio tabu inaanzia hapo.
 
Hapa naomba tukubaliane hakuna uhusiano wa bangi na huo upuuzi wa Sele ingekua bangi ina matatizo ofisi nyingi zingekua full vurumai ila tunavuta na mnakuja kwenye ofisi zetu tunawapa huduma fresh tu hata wizarani kungekua tafrani pia.
Sele ana sonono,usiombe uwe maarafu alafu ushuke bila kutegemea lazima uvurugike mbaya zaidi unaona watoto wadogo wa nyimbo 3 tu wana cruise kwenye ndinga na wana maisha mazuri acheni tu Sele apate kichaa.
Hahahaha.....mkuu kwenye mawizara ingekuwa vurugu!!!
.. Hatare sana
 
Kama ni bangi morogoro kuna bangi gani kuzidi Arusha, Ana kula pushabu mzazi ndomana zina mpeleka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom