Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,643
- 6,822
Kavuta ya Arusha alizoea makushabu.
Kwa nini kila tabia mbaya mnaiita ya Kike?Sugu haongeagi kuhusu sele,sele anaona wivu sugu ana hela,sele anatabia za kike,anasema eti sugu ana sura mbaya,mfupi,amepata mtoto uzeeni,sasa si tabia za kike hizi za kina mwajuma kule vingunguti
Sio tusi ndo ukweli,wengi ndo mlivyo kujadili maumbile ya watu pamoja na misemo yenu na maneno ya shombo sijui kajambie mbele mara kajamba nani yaani vurugu tu,naonanaga wamama wanawasema kwamba mtoto wa mama flani ana sura mbaya sijui nini upuuzi tuKwa nini kila tabia mbaya mnaiita ya Kike?
Wanawake tunanyanyasika sana Africa.
Mmmh!!! Huko sijuiHuyu jamaa si ndio alimuua mama tunda kwa ku-m-f-i-r-a
Hayo mambo ya wanaume.Sio tusi ndo ukweli,wengi ndo mlivyo kujadili maumbile ya watu pamoja na misemo yenu na maneno ya shombo sijui kajambie mbele mara kajamba nani yaani vurugu tu,naonanaga wamama wanawasema kwamba mtoto wa mama flani ana sura mbaya sijui nini upuuzi tu
Ukweli ni kua ccm inaongozwa na kichaalakini amesema ukweli au uongo? kipi cha uongo hapo?
Fake!Aisehhh
Sio bangi akali yake maana atakuna muda watu tunakosea alafu tumsingizia shetani wakati nimakosa yetu so Afande amezingua saaanaMm siamini afande sale anaweza andika hivyo,na kama ni kweli,basi bangi ina madhara makubwa sana
Sio mbaya mbaya ni akili ya mvutaji, kama haija komaa kustahimili mshindo mambo ndo inakua hiyoNimeamini kweli bangi mbaya
Hahahaha.....mkuu kwenye mawizara ingekuwa vurugu!!!Hapa naomba tukubaliane hakuna uhusiano wa bangi na huo upuuzi wa Sele ingekua bangi ina matatizo ofisi nyingi zingekua full vurumai ila tunavuta na mnakuja kwenye ofisi zetu tunawapa huduma fresh tu hata wizarani kungekua tafrani pia.
Sele ana sonono,usiombe uwe maarafu alafu ushuke bila kutegemea lazima uvurugike mbaya zaidi unaona watoto wadogo wa nyimbo 3 tu wana cruise kwenye ndinga na wana maisha mazuri acheni tu Sele apate kichaa.
Nyani haoni kaliole, yeye sele mwenyewe sura yake ikoje? Old stone ageYap na mtazamo wangu upo sahihi,haiwezekani mwanaume unamwambia mwanaume mwenzako ana sura mbaya