Mkuu ni kweli vichaa.. watoto na walevi wanasema ukweli.... kwahiyo msema kweli ni Mpenzi wa Mungu na pepo hii hapa keshaipata.Siku hizi vichaa wanasema ukweli. Na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Sijui umri wako ila kama umevuka 18 basi waliokuzaa wamepata hasara kubwa sana.
Loosers wengi mara nyingi wako hivyo, hawana shukurani, kila wakati kulalamika na kutafuta mchawi wa udhaifu wao, hana jipya sele mabangi, uraibu umemdhuruAfande kasema sugu ni mfupi,ana sura mbaya,mweusi,aliachwa na faiza,amepata mtoto uzeeni.
Mpaka kamuhusisha na marehemu mama yake sugu,afande wewe sugu ndo alikutoa kimuziki lakini mwisho wa yote wananchi wa morogoro sio wapumbavu kiasi hicho wakupe ubunge afande sele,hata huyo magu ambaye unajipendekeza kwake hawezi akakupa hata uenyekiti wa mtaa.
Afande sele ndo anayesababisha wavuta bangi tuonekane hatuna akili
Nenda kwenye instagram yake
Hata Mimi piaMm siamini afande sale anaweza andika hivyo,na kama ni kweli,basi bangi ina madhara makubwa sana
Mtu ambaye anaweza kutenga muda wake kujaridi kimo cha mtu mwingine, si tu anakuwa hana busara bali ni mpumbavu wa kiwango cha lami. Afande sele amekuwa na tabia za kike sana inashangaza alivyoweza kuibadirika ndani ya muda mfupi na kuwa katika kundi moja na akina Gigi money. Sikuwahi kufikiria kuwa itafikia siku afande yule wa mkuki moyoni, darubini kali, heshima, mtazamo anaweza siku moja kuwa katika kundi la akina ambalulu....lakini amesema ukweli au uongo? kipi cha uongo hapo?
Afande kasema sugu ni mfupi,ana sura mbaya,mweusi,aliachwa na faiza,amepata mtoto uzeeni.
Mpaka kamuhusisha na marehemu mama yake sugu,afande wewe sugu ndo alikutoa kimuziki lakini mwisho wa yote wananchi wa morogoro sio wapumbavu kiasi hicho wakupe ubunge afande sele,hata huyo magu ambaye unajipendekeza kwake hawezi akakupa hata uenyekiti wa mtaa.
Afande sele ndo anayesababisha wavuta bangi tuonekane hatuna akili
Nenda kwenye insatagram ya afande sele au haujaona screenshot hapoMkuu sio kwamba umejitungia mwenyewe haya .
Afande sele kayaongea wapi haya .Tuanzie hapo kwanza .
Afu jina lako hilo ni kubwa sana kwa sisi wapenzi wa hiphop .
Sent from my GT-N7100 using JamiiForums mobile app
hahahaaa afande sele ndio ana sababisha nini ""? aisee Jf bwana hahaaaAfande kasema sugu ni mfupi,ana sura mbaya,mweusi,aliachwa na faiza,amepata mtoto uzeeni.
Mpaka kamuhusisha na marehemu mama yake sugu,afande wewe sugu ndo alikutoa kimuziki lakini mwisho wa yote wananchi wa morogoro sio wapumbavu kiasi hicho wakupe ubunge afande sele,hata huyo magu ambaye unajipendekeza kwake hawezi akakupa hata uenyekiti wa mtaa.
Afande sele ndo anayesababisha wavuta bangi tuonekane hatuna akili
hapana " amesikia kwamba ili upate teuzi Lazima uwe kichaa " so ndio anajichetua ili ateuliweMm siamini afande sale anaweza andika hivyo,na kama ni kweli,basi bangi ina madhara makubwa sana
mwanae ajifunze lipi " kwa mvuta bangi ambaye ndiye baba yake '?? na yeye atavutishwa mibangi tu " hakuna jengineYani inasikitisha sana mkuu.
Mwanae sijui anajifunza nini.kamkosea sana sugu
hata akikufafanulia, CCM hamuwezi kutoutisha uongo na ukweli.lakini amesema ukweli au uongo? kipi cha uongo hapo?
Kumbe nawe unakipuliza? Huko sipo kabisaaaaAfande sele ndo anayesababisha wavuta bangi tuonekane hatuna akili
alifata mbeguSio haolewi tu bali hata kuchomeka bamia lake na kuleta kiumbe nae ni bonge moja la mistake alilowahi fanya maishani mwake!