masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,857
- 13,140
View attachment 67357
Ukipita nchi ya watu(wanyama) inabidi uwe mwangalifu na adabu juu.
Maafande wengine hawakopeshi wala kudai kitu kidogo!
Hao nyati watatu nimewakuta wameweka road block pale Mikumi.
Hawataki uwapigie honi wala kuwasogelea, usipofanya hivyo umekwisha!
Jamaa walisimama tuli katikati ya barabara, huku nikitweta.Niliwasubiri kama dakika nane hivi ili waniruhusu kupita.
Ukipita nchi ya watu(wanyama) inabidi uwe mwangalifu na adabu juu.
Maafande wengine hawakopeshi wala kudai kitu kidogo!
Hao nyati watatu nimewakuta wameweka road block pale Mikumi.
Hawataki uwapigie honi wala kuwasogelea, usipofanya hivyo umekwisha!
Jamaa walisimama tuli katikati ya barabara, huku nikitweta.Niliwasubiri kama dakika nane hivi ili waniruhusu kupita.