kweli kabisa. waliwafanyia kitendo kibaya kabisa. halafu wao ni wa kwanza kwanza kunywa dawa.safiii mkuu lakini ukumbuke mliyo wafanyia wana Arusha, kama uyo Babu angekubwa na Mauwaji Re Afande ungepata kikombe? fikiria kabla ujatenda. iyo ni kwa Ma afande wote