Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 11,449
- 9,744
- Thread starter
- #21
Mkuu samahani nilichelewa kurespond nilikuwa mahabusu ya ban kuna mtu alileta ujinga nikampa za uso, mods wakanipa kifungo cha wiki.
Back to topic, huyo afande ningekuwa presdaa ningempa majukumu mengine ya u-DC ama ubalozi wa nchi kabisa!
Pole sana na kifungo mkuu