EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,119
Sio kama napenda wikendi ifike ili nisifanye kazi, ila wikendi ndio wakati ambao tunapunguza sarakasi za nchi hii. Kwa mfano wiki hii imekuwa na sarakasi nyingi kwenye hii episode mpya ya "Tanzania yetu yasonga mbele" baadhi ya sarakasi zikiwa;
- Bunge kuanza likiwa halijajiandaa
- Sakata la Lema kule Arusha na kunyimwa dhamana
- Sakata la mkesha wa CHADEMA baada ya hapo na vurumai za wana CHADEMA na polisi
- Kukamatwa kwa Mbowe
- Issue ya ushoga ikiwa inaendelea