Jamani, una maana mnataka Dr. AshaRose Migiro ndiye mnapendekeaza awe raisi mwaka 2015?
Kusema kweli yule mama ni mpole na mnyenyekevu kama atapendekezwa kuwa raisi na akapata watendaji wazuri hata mimi naona anafaa. Tuombe Mungu atuchagulie pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.