Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 16,508
- 18,593
Kozi za SUA: animal science, aquaculture, Range management, human nutrition and food science, agronomy, Land use planning n.k kwa ufupi SUA atapata na mkopo 100% juu. Lakini pia jaribu ku-check vyuo vya Uganda kwenye mambo ya afya!Wakuu nina mdogo wangu kasoma CBG, na kwa sasa CBG ni kama wameitenga flani hivi kwenye masuala ya afya. Anapenda sana afya kwa yeye. Ningependa kupata muongozo kwenu, kwa matokeo haya hapa chini aende kozi gani?.
one ya 9.
Georg B
Chemistry D
Biology C
Bam S
Gs S