Tanganian
JF-Expert Member
- Jan 27, 2025
- 4,944
- 8,597
NdiyoAkakomae na Mkataba sio!
NdiyoAkakomae na Mkataba sio!
Aende halmashauri alafu akishathibitishwa kazini ataomba kuhamia TARURA AU TANROADSWanabodi salama? Kheri ya Idd kwa nyinyi na Familia Zenu.
Nina mdogo wangu ni Engineer (Mambo ya Civil) kapata kazi Halmashauri (Permenent) ila Pia kapata Mkataba TARURA (Wakala wa barabara). Upande wa halmashauri Mshahara haufikii hata Gross ya 1M ila upande wa wakala anapata Gross ya 2M.
Changamoto ni kwamba Halmashauri ni Permenent ila maslahi kidogo, TARURA unafuu wa maslahi ila ni mkataba (Renewable). Achukue Maamuzi gani?
Asanteni!
Acha uvivu nenda tu uko kwenye fitina na majungu,utafanya kazi na kuwa na experience zaidi,huko wasikojali hakufai kabisaa,utalemaa kutokana na uko kutokujali.Halmashauri huko utafanya mambo yako hakuna mtu anajali, TARURA akienda ni KAZI tu,fitina na majungu
Ajira Portal hawatoi contractual vacancies.Hamna kitu kama hicho...kazi wanapanga utumishi imekuaje kapangiwa sehemu mbili....does not make sense
Mawazo mazuri Kabisa Mkuu!Halmashauri kama ni DSM aende. Kama ni nje na dar ni bora akomae huko TARURA hata kwa mkataba. Kazi za halmashauri nje na dar atapambana na fitna, majungu, ukabila na kila aina ya stress!!!
Asipofuata ushauri wako basi elimu haijamsaidiaKwenye Mkataba wa kudumu huko ndiko tunaweza kufungua makampuni na biashara na tunasimamia ,hakuna majungu Wala kuajiri mtoto wa dada ,huko ndio kuna kupanda madaraja sio kwenye ku renew mikataba,hiyo 2m ataipata baada ya miaka 3 na ma deal kibao
Kwenye ajira ya kudumu kuna fursa kama za mikopo nkWanabodi salama? Kheri ya Idd kwa nyinyi na Familia Zenu.
Nina mdogo wangu ni Engineer (Mambo ya Civil) kapata kazi Halmashauri (Permenent) ila Pia kapata Mkataba TARURA (Wakala wa barabara). Upande wa halmashauri Mshahara haufikii hata Gross ya 1M ila upande wa wakala anapata Gross ya 2M.
Changamoto ni kwamba Halmashauri ni Permenent ila maslahi kidogo, TARURA unafuu wa maslahi ila ni mkataba (Renewable). Achukue Maamuzi gani?
Asanteni!
Aende halmashauri alafu akishathibitishwa kazini ataomba kuhamia TARURA AU TANROADS
Angalie securityAende Halmashauri, mkataba muda wowote unaweza temwa, aende halmashauri apige kazi mbeleni apiganishe aende kwenye hizo Agency anazotaka, aache ujinga kwenda TARURA.
Halmashauri 950K TARURA 2000KAende Halmashauri, mkataba muda wowote unaweza temwa, aende halmashauri apige kazi mbeleni apiganishe aende kwenye hizo Agency anazotaka, aache ujinga kwenda TARURA.
Si anaweza kwenda halmashauri badae akahamia TARURA, mkataba wa mwaka moja mtihani sheikh.Halmashauri 950K TARURA 2000K
Kumbuka ni mkataba na anaweza kosa renewable.Aende kwenye 900k anapata mkataba permanent then anarudi zake TARURA bila mkataba wa Masimango.Na ni rahisi kwa kuwa zote ni taasisi za UmmaHalmashauri 950K TARURA 2000K
Ukiishakuwa Engineer kwenye hizo taasisi.Wanabodi salama? Kheri ya Idd kwa nyinyi na Familia Zenu.
Nina mdogo wangu ni Engineer (Mambo ya Civil) kapata kazi Halmashauri (Permenent) ila Pia kapata Mkataba TARURA (Wakala wa barabara). Upande wa halmashauri Mshahara haufikii hata Gross ya 1M ila upande wa wakala anapata Gross ya 2M.
Changamoto ni kwamba Halmashauri ni Permenent ila maslahi kidogo, TARURA unafuu wa maslahi ila ni mkataba (Renewable). Achukue Maamuzi gani?
Asanteni!