Aende Halmashauri au Wakala (Agency)

Aende Halmashauri au Wakala (Agency)

Ctech

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2010
Posts
763
Reaction score
829
Wanabodi salama? Kheri ya Idd kwa nyinyi na Familia Zenu.

Nina mdogo wangu ni Engineer (Mambo ya Civil) kapata kazi Halmashauri (Permenent) ila Pia kapata Mkataba TARURA (Wakala wa barabara). Upande wa halmashauri Mshahara haufikii hata Gross ya 1M ila upande wa wakala anapata Gross ya 2M.

Changamoto ni kwamba Halmashauri ni Permenent ila maslahi kidogo, TARURA unafuu wa maslahi ila ni mkataba (Renewable). Achukue Maamuzi gani?

Asanteni!
 
Aende agency halmashaur amna maisha
Agency wanajpangia mishahara ila hamashaur kuna njaa ya somalia
 
Wanabodi salama? Kheri ya Idd kwa nyinyi na Familia Zenu.

Nina mdogo wangu ni Engineer (Mambo ya Civil) kapata kazi Halmashauri (Permenent) ila Pia kapata Mkataba TARURA (Wakala wa barabara). Upande wa halmashauri Mshahara haufikii hata Gross ya 1M ila upande wa wakala anapata Gross ya 2M.

Changamoto ni kwamba Halmashauri ni Permenent ila maslahi kidogo, TARURA unafuu wa maslahi ila ni mkataba (Renewable). Achukue Maamuzi gani?

Asanteni!
Halmashauri huko utafanya mambo yako hakuna mtu anajali, TARURA akienda ni KAZI tu,fitina na majungu
 
Hamna kitu kama hicho...kazi wanapanga utumishi imekuaje kapangiwa sehemu mbili....does not make sense
Kazi zote hazitoki utumishi, Kuna agencies zinaajiri zenyewe kazi za Mikataba, mfano TANROADS na TARURA
 
Yaan engineer halafu Gross Salary haifiki 1M per month!?
Bado tuna safar ndefu sanaaa
 
Namshauri aende Agency ,tena hao wanajikuta ngoza ...Kamq yuko makini apambane huko TARURA ...Hayo majungu dawa yake ni mikausho mikali .

Halmashauri mabosi wengi mpaka viongozi wa CCM kama madiwani wnaakupelekesha.
 
Namshauri aende Agency ,tena hao wanajikuta ngoza ...Kamq yuko makini apambane huko TARURA ...Hayo majungu dawa yake ni mikausho mikali .

Halmashauri mabosi wengi mpaka viongozi wa CCM kama madiwani wnaakupelekesha.
Akakomae na Mkataba sio!
 
Wanabodi salama? Kheri ya Idd kwa nyinyi na Familia Zenu.

Nina mdogo wangu ni Engineer (Mambo ya Civil) kapata kazi Halmashauri (Permenent) ila Pia kapata Mkataba TARURA (Wakala wa barabara). Upande wa halmashauri Mshahara haufikii hata Gross ya 1M ila upande wa wakala anapata Gross ya 2M.

Changamoto ni kwamba Halmashauri ni Permenent ila maslahi kidogo, TARURA unafuu wa maslahi ila ni mkataba (Renewable). Achukue Maamuzi gani?

Asanteni!
Nadhani ingependeza kama ungefafanua huko TARURA amepata mkataba wa muda gani na kama ni renewable au non renewable. Kama mkataba ni wa mwaka 1 ushauri unaweza kubadilika otherwise namshauri aende TARURA.
Kama halmashauri analipwa nusu ya hela anayoenda kulipwa TARURA maana yake alifanya kazi miaka 5 TARURA ni sawa na kufanya kazi miaka 10 halmashauri
 
Nadhani ingependeza kama ungefafanua huko TARURA amepata mkataba wa muda gani na kama ni renewable au non renewable. Kama mkataba ni wa mwaka 1 ushauri unaweza kubadilika otherwise namshauri aende TARURA.
Kama halmashauri analipwa nusu ya hela anayoenda kulipwa TARURA maana yake alifanya kazi miaka 5 TARURA ni sawa na kufanya kazi miaka 10 halmashauri
Mkataba ni Mwaka mmoja ila Renewable, Halmashauri ni Permenent
 
Back
Top Bottom