Acha kumkatisha tamaa mwenzio na waswahili wanasema maisha ni mipango. Kuna iliepanga kuanza na gari then nyumba, pia mwingine ndoa then gari, mwingine nyumba kwanza mengine yanafuata.
Pia kumbuka inategemea na kaza pia mizunguko ya mtu anaweza akaona matumizi ya tax, bodaboda au daladala na gharama pia anapoteza muda mwingi kuliko anapokua na usafiri binafsi.
Nimemkatisha tamaa kivipi mi nimejaribu kumpa mtazamo tu ni japokuwa maamuzi makuu anayo yeye.
Nahi haukelewa swali la miss.
Ameomba ushauri wa aina nzuri ya gari kwa bei ya m 7.
Hajaomba ushauri wa nini anaweza akafanya kwa m 7.
Ni kweli,Nahi haukelewa swali la miss.
Ameomba ushauri wa aina nzuri ya gari kwa bei ya m 7.
Hajaomba ushauri wa nini anaweza akafanya kwa m 7.
hapo umemaliza,Toyota Spacio hadi change itabaki na ataitumia kwa kazi nyingineNunua Spacio
Nina
kiasi cha shilingi 7mil na ninataka kununua usafiri wangu binafsi.
Naombeni wenye uzoefu na magari mnishauri ni aina gani ya gari naweza
kuipata kutoka show room kwa kiasi hicho cha fedha.
Binafsi nilikuwa napendelea toyota mark II ila sasa sijui bei yake
ikoje.
Then naomba kujua gharama za utunzaji gari zikoje kwa mfano inatakiwa
ifanyiwe service mara ngapi kwa mwezi.
Mshara wangu ni lak 3 kwa mwezi sina familia je nitaweza kuzimudu gharama za utunzaji gari?
Aina gani anunue????Ushauri mwingi Uamuzi wako mwenyewe!!
Mimi nakushauri nunua Suzuki Kei - unapata CC 660, 4WD raha tele
Mi nadhani ungefungua buzness ya 5M, baada ya mwaka tunakusahau! ni dalili ya umaskini kuwaza kuongeza matumizi badala ya kuongeza kipato
show room hautopata gari kwa bei hiyo, option ni kununua kwa mtu.
nakushauri ununue Toyota corolla AE110 au AE111. au Toyota Starlet model yoyote except Glanza
spear parts ni nafuu, body ni ngumu na fuel economic cz beinya mafuta inatia kichaa
achana na vigari vya kibishoo kama Duet, IST, Nissan March, hizi ni gari laini na sio imara
Mark 2, chaser na cresta ni majini mahaba, utafilisi mfuko wako kununua mafuta
show room hautopata gari kwa bei hiyo, option ni kununua kwa mtu.
nakushauri ununue Toyota corolla AE110 au AE111. au Toyota Starlet model yoyote except Glanza
spear parts ni nafuu, body ni ngumu na fuel economic cz beinya mafuta inatia kichaa
achana na vigari vya kibishoo kama Duet, IST, Nissan March, hizi ni gari laini na sio imara
Mark 2, chaser na cresta ni majini mahaba, utafilisi mfuko wako kununua mafuta
Mnajuaje kama hana Hyo biashara? kila mtu na mipango mwachane afanye anachoona bora kwake mladi ananunua kwa hela zake
nina
kiasi cha shilingi 7mil na ninataka kununua usafiri wangu binafsi.
Naombeni wenye uzoefu na magari mnishauri ni aina gani ya gari naweza
kuipata kutoka show room kwa kiasi hicho cha fedha.
Binafsi nilikuwa napendelea toyota mark ii ila sasa sijui bei yake
ikoje.
Then naomba kujua gharama za utunzaji gari zikoje kwa mfano inatakiwa
ifanyiwe service mara ngapi kwa mwezi.
Mshara wangu ni lak 3 kwa mwezi sina familia je nitaweza kuzimudu gharama za utunzaji gari?
kununua gari sio tatizo.....tatizo utunzaji.....kwa mshahara wako wa laki 3 hilo zoezi litakuwa kichaa'kwa mfano umenunua toyota carina st,cc1500 tu
1.mafuta kwa siku tsh 10,000 kwa siku 30 ni 300,000-mshahara umekwisha
2.service kila km 3000(sijui una misele gani wengine km 3000 mwezi mmoja) oil filter 10,000.....fuel filter 10,000.....air filter 10,000.....fundi 5000.....jumla 35,000
3.matairi na matengenezo mengine hayatabiriki......
sasa huu mshahara wa laki 3,kodi itoke humo humo,chakula humo humo.....kwa ushauri wangu usinunua gari wekeza uongeze kipato.....milioni 7 ni mtaji mzuri sana kama ukijituma......