Adventure To Mount Kilimanjaro

Adventure To Mount Kilimanjaro

aclassicBoy

Member
Joined
Jun 9, 2022
Posts
6
Reaction score
4
Habari za muda na wakati huu.
Npo hapa kutafuta mdhamini/Wadhamini (Sponsor(s)) wa Safari ya Kupanda mlima Kilimanjaro.
Atakayekuwa tayari kwa udhamini huo. Ntaitangaza Brand au Biashara ya kwa kupiga nayo picha mwanzo wa Safari mpaka Ntakapofika Uhuru Peak. Picha hizo atazitumia kupost katika Social Media zake.
Karibu tuyajenge PM,
Muwe na wakati mwema.
 
Habari za muda na wakati huu.
Npo hapa kutafuta mdhamini/Wadhamini (Sponsor(s)) wa Safari ya Kupanda mlima Kilimanjaro.
Atakayekuwa tayari kwa udhamini huo. Ntaitangaza Brand au Biashara ya kwa kupiga nayo picha mwanzo wa Safari mpaka Ntakapofika Uhuru Peak. Picha hizo atazitumia kupost katika Social Media zake.
Karibu tuyajenge PM,
Muwe na wakati mwema.
ungejaribu kuweka mawasiliano yako ili rahisi kukupata.
 
Wewe ni brand? Kama sio, kwanini mm mdhamini nisipande na bidhaa yangu nikapiga nayo picha?? Weka maelezo tukuelewe mkuu
 
Una nini cha kukufanya watu na makampuni wakuamini kufanya nao kazi? Mitandao gani utatumia ? Una wafuasi wangapi ? Ushawishi wako mitandaoni upoje ?
 
Influence yangu Mitandaoni bado naikuza kwasabu nmeanza Rasmi ku-engage na adventure activities, Kwa maaana hiyo ntakuwa na Brand yako ya Biashara ambayo nitapiga picha na Kukutumia ww Upost kwenye Social Media zako alafu na mm ntapost pia kwa Sehemu yangu.
 
Wewe ni brand? Kama sio, kwanini mm mdhamini nisipande na bidhaa yangu nikapiga nayo picha?? Weka maelezo tukuelewe mkuu
Sababu ni kuwa Siyo kila mtu ana muda wa kuchukuwa bidhaa yake na kwenda nayo. So nmejitokeza kumuwakilisha asiye na muda au uwezo huo.
 
Back
Top Bottom