Adultery iwe kosa la jinai?

Bandio

Senior Member
Feb 19, 2012
101
12
Ndugu zangu naombeni msaada katika hili,
Nimejaribu kupekua Kanuni ya Adhabu sijapata sehemu inayotaja kuwa Ugoni (Adultery) ni kosa la jinai. Katika kupitia Sheria ya Ndoa nimepata sehemu iliyoandikwa kuwa adultery ni kosa la kimadai na faini ndio relief kwa aliyetendewa.

SWALI: Kutokana na ongezeko la kuvunjika kwa ndoa, ambazo wote kwa pamoja tutakubaliana kuwa ni taasisi muhimu, pamoja na ugonjwa hatari wa ukimwi hatuoni sasa ni wakati mwafaka kuifanya adultery kosa la jinai? Au kuna katazo gani kisheria?
 
Madhara ya both adultery na kujinaisha adultery. Naomba nisaidie madhara hasi na chanya ya yote.

Natanguliza shukrani.

Adultery madhara yake labda ni kumuumiza mtu kihisia. Ila hii nayo inatofautiana baina ya mtu na mtu.

Madhara ya kujinaisha adultery ni uingiliaji na uvunjaji wa haki za binadamu. Serikali haipaswi kabisa kujiingiza katika maamuzi binafsi ya watu binafsi yahusuyo maisha yao binafsi.

Kujinaisha masuala ya kimapenzi ambayo kimsingi ni masuala binafsi hakuna mantiki yoyote ile. Tayari kuna legal recourse kama mtu anaona mwenza wake katika ndoa si muaminifu.

Kuna taratibu na sheria zinazoongoza mambo hayo kama mtu atataka talaka. Kwangu hiyo inatosha. Labda tu hizo sheria zinaweza kufanyiwa modifications za hapa na pale ili kujaribu kutenda haki zaidi.

Lakini hii ya kujinaisha uzinzi hapana kabisa. Sasa wakishajinaisha adhabu yake inakuwa ni nini? Mapenzi hayalazimishwi bana. Mapenzi ni mambo ya hiari. Mimi sitaki mtu anilazimishe niwe muaminifu kimapenzi kwa mtu yoyote yule.

Uaminifu wangu kimapenzi ni uamuzi wangu mwenyewe. Serikali haina business yoyote kuja na kuanza kunipangia nani wa kulala naye na nani si wa kulala naye ilhali mimi ni mtu mzima mwenye akili zangu timamu na ninaotaka kuwa nao, nao ni watu wazima wenye akili zao.

You can't legislate love. You just can't.
 
Adultery madhara yake labda ni kumuumiza mtu kihisia. Ila hii nayo inatofautiana baina ya mtu na mtu.

Madhara ya kujinaisha adultery ni uingiliaji na uvunjaji wa haki za binadamu. Serikali haipaswi kabisa kujiingiza katika maamuzi binafsi ya watu binafsi yahusuyo maisha yao binafsi.

Kujinaisha masuala ya kimapenzi ambayo kimsingi ni masuala binafsi hakuna mantiki yoyote ile. Tayari kuna legal recourse kama mtu anaona mwenza wake katika ndoa si muaminifu.

Kuna taratibu na sheria zinazoongoza mambo hayo kama mtu atataka talaka. Kwangu hiyo inatosha. Labda tu hizo sheria zinaweza kufanyiwa modifications za hapa na pale ili kujaribu kutenda haki zaidi.

Lakini hii ya kujinaisha uzinzi hapana kabisa. Sasa wakishajinaisha adhabu yake inakuwa ni nini? Mapenzi hayalazimishwi bana. Mapenzi ni mambo ya hiari. Mimi sitaki mtu anilazimishe niwe muaminifu kimapenzi kwa mtu yoyote yule.

Uaminifu wangu kimapenzi ni uamuzi wangu mwenyewe. Serikali haina business yoyote kuja na kuanza kunipangia nani wa kulala naye na nani si wa kulala naye ilhali mimi ni mtu mzima mwenye akili zangu timamu na ninaotaka kuwa nao, nao ni watu wazima wenye akili zao.

You can't legislate love. You just can't.

Nimekuelewa mkuu, asante sana kwa mchango wako.
 
Adultery madhara yake labda ni kumuumiza mtu kihisia. Ila hii nayo inatofautiana baina ya mtu na mtu.

Madhara ya kujinaisha adultery ni uingiliaji na uvunjaji wa haki za binadamu. Serikali haipaswi kabisa kujiingiza katika maamuzi binafsi ya watu binafsi yahusuyo maisha yao binafsi.

Kujinaisha masuala ya kimapenzi ambayo kimsingi ni masuala binafsi hakuna mantiki yoyote ile. Tayari kuna legal recourse kama mtu anaona mwenza wake katika ndoa si muaminifu.

Kuna taratibu na sheria zinazoongoza mambo hayo kama mtu atataka talaka. Kwangu hiyo inatosha. Labda tu hizo sheria zinaweza kufanyiwa modifications za hapa na pale ili kujaribu kutenda haki zaidi.

Lakini hii ya kujinaisha uzinzi hapana kabisa. Sasa wakishajinaisha adhabu yake inakuwa ni nini? Mapenzi hayalazimishwi bana. Mapenzi ni mambo ya hiari. Mimi sitaki mtu anilazimishe niwe muaminifu kimapenzi kwa mtu yoyote yule.

Uaminifu wangu kimapenzi ni uamuzi wangu mwenyewe. Serikali haina business yoyote kuja na kuanza kunipangia nani wa kulala naye na nani si wa kulala naye ilhali mimi ni mtu mzima mwenye akili zangu timamu na ninaotaka kuwa nao, nao ni watu wazima wenye akili zao.

You can't legislate love. You just can't.
Agreed mkuu.
Adultry inaweza kua sababu ya divorce ila kusiwe criminalization!
A crime has two element: the intention to do harm and the material act.
In the case of adultry itakua ni kule kukusudia kumuumiza mwenzio, na kule kucheat kwenyewe.
Hapo kwanza kuna swala la ushahidi: how do you prove that intention? kama ni tamaa tu bila intention ku harm je?
Halafu sheria inasema in case the intention is there, but the act could not be fully completed because of externalities basi the crime is considered fully committed (mfano: mwizi kaingia ndani, ila kashindwa kuiba sababu aliwahi kukamatwa, bado atashtakiwa kwa kosa la wizi).
Sasa unaona how dangerous this can be? watu tutakua tunakaa tu for a cofee and you are condemned for attempting adultry, so long as your spouse can prove that the intention to do harm was there.
Anyway, I am not a lawyer, ngoja waje wenyewe.
 
Agreed mkuu.
Adultry inaweza kua sababu ya divorce ila kusiwe criminalization!
A crime has two element: the intention to do harm and the material act.
In the case of adultry itakua ni kule kukusudia kumuumiza mwenzio, na kule kucheat kwenyewe.
Hapo kwanza kuna swala la ushahidi: how do you prove that intention? kama ni tamaa tu bila intention ku harm je?
Halafu sheria inasema in case the intention is there, but the act could not be fully completed because of externalities basi the crime is considered fully committed (mfano: mwizi kaingia ndani, ila kashindwa kuiba sababu aliwahi kukamatwa, bado atashtakiwa kwa kosa la wizi).
Sasa unaona how dangerous this can be? watu tutakua tunakaa tu for a cofee and you are condemned for attempting adultry, so long as your spouse can prove that the intention to do harm was there.
Anyway, I am not a lawyer, ngoja waje wenyewe.

Asante mkuu,
Vipi kuhusu makosa yanayoitwa offences of strict liability? Kwani mkuu ni makosa yote lazima uthibitishe element zote au kuna exception? Na hii adultery si inaweza kuwa miongoni mwa hayo makosa.
 
Asante mkuu,
Vipi kuhusu makosa yanayoitwa offences of strict liability? Kwani mkuu ni makosa yote lazima uthibitishe element zote au kuna exception? Na hii adultery si inaweza kuwa miongoni mwa hayo makosa.
Dah! hapo si ndio inakua even worse?
Strict liability (as you said) maana yake hata kwa ku-neglect au ku-omit umesha kosea, ingawa hukua na nia ya kuumiza. Sasa jaribu kutupa mfano kama huo utajionea mwenyewe how it opens the door to abuses...
But as I said, ngoja tuwasikilize lawyers, maybe in comparative law kuna precedent ya hii kitu.
In the US husbands could sue their wives lovers for 'violation of private property' until mwanzoni mwa karne ya 20! :lol:
 
Nashukuruni kwani mmefanya kunielimisha kwa vingi nilivyokuwa sivijui
 
In the US husbands could sue their wives lovers for 'violation of private property' until mwanzoni mwa karne ya 20! :lol:

Violation of what property?

Nijuavyo mimi kuna baadhi ya majimbo ambayo bado yana sheria ya alienation of affection ambayo fidia yake ni malipo.
 
Kwa maoni yangu ugoni ulipaswa kuwa kosa la jinai. Usaliti katika ndoa si suala linalomuhusu msaliti na patna wake tu, lkn pia ni jambo linalowaaibisha watu wengine katika jamii. Fikiria ni mama yako mzazi anaanzisha mahusiano na mwanaume mwingine ilhali baba yako yupo. Hapa nazungumzia hawa ni watu wazima, na wewe pia.

Mimi sioni shida ya mtu kuvunja uhusiano alionao kwanza kabla ya kuamua kufanya hayo mapya ambayo kwa utaratibu wa sasa ni kumkosea heshima mwenzi wako na kumchafua mbele ya jamii. Mara ngapi tunaona wanaume wanaotelekeza familia kwa roots za kosa hili linalochekewa na sheria? Wamama wangapi wamedhalilisha familia zao kwa ugoni na wanaendelea kwa kuwa sheria haiwabani?
 
Kuna baadhi ya nchi ugoni ni capital offense. Ndio tufikie huko?
Watu wanapenda sana control mkuu, please read these funny laws, I think I have broken more than half of them unknowingly. :lol::lol::lol: here are some of the most shocking:
- In Oxford, Ohio, it's illegal for a woman to strip off her clothing while standing in front of a man's picture.
- The only acceptable sexual position in Washington, D.C. is the missionary position. Any other sexual position is considered illegal.
- In the state of Washington there is a law against having sex with a virgin under any circumstances (including the wedding night).
- The owner of every hotel in Hastings, Nebraska, is required to provide each guest with a clean and pressed nightshirt. No couple, even if they are married, may sleep together in the nude, nor may they have sex unless they are wearing one of these clean, white cotton nightshirts!!!
 
Kwa maoni yangu ugoni ulipaswa kuwa kosa la jinai. Usaliti katika ndoa si suala linalomuhusu msaliti na patna wake tu, lkn pia ni jambo linalowaaibisha watu wengine katika jamii. Fikiria ni mama yako mzazi anaanzisha mahusiano na mwanaume mwingine ilhali baba yako yupo. Hapa nazungumzia hawa ni watu wazima, na wewe pia.

Mimi sioni shida ya mtu kuvunja uhusiano alionao kwanza kabla ya kuamua kufanya hayo mapya ambayo kwa utaratibu wa sasa ni kumkosea heshima mwenzi wako na kumchafua mbele ya jamii. Mara ngapi tunaona wanaume wanaotelekeza familia kwa roots za kosa hili linalochekewa na sheria? Wamama wangapi wamedhalilisha familia zao kwa ugoni na wanaendelea kwa kuwa sheria haiwabani?

Aisee....this kind of thinking is scary! I'm so glad we don't have lawmakers who think like you.
 
Tuwe kama waarabu tu nadhani tungeheshimiana, mimi na wewe ni marafiki then unakwenda kumchapa nao mke wangu mpaka nawafuma halafu isiwe kosa kisheria .... hapa ndio mob justice zitafuata
 
Kwa maoni yangu ugoni ulipaswa kuwa kosa la jinai. Usaliti katika ndoa si suala linalomuhusu msaliti na patna wake tu, lkn pia ni jambo linalowaaibisha watu wengine katika jamii. Fikiria ni mama yako mzazi anaanzisha mahusiano na mwanaume mwingine ilhali baba yako yupo. Hapa nazungumzia hawa ni watu wazima, na wewe pia.

Mimi sioni shida ya mtu kuvunja uhusiano alionao kwanza kabla ya kuamua kufanya hayo mapya ambayo kwa utaratibu wa sasa ni kumkosea heshima mwenzi wako na kumchafua mbele ya jamii. Mara ngapi tunaona wanaume wanaotelekeza familia kwa roots za kosa hili linalochekewa na sheria? Wamama wangapi wamedhalilisha familia zao kwa ugoni na wanaendelea kwa kuwa sheria haiwabani?

Mkuu umenena ndio maana nchi zilizoendelea wapenzi wakiuwana haihesabiwi ni mauaji! au nchi hizohizo zina sheria kali sana za wanawake na mwanamke hapigwi bora wewe unune tu udivorce ila ukimtia kibao demu wako akakushitaki ujue umeachika wewe na hapo mtaani huruhusiwi hata kupita
 
Mkuu umenena ndio maana nchi zilizoendelea wapenzi wakiuwana haihesabiwi ni mauaji! au nchi hizohizo zina sheria kali sana za wanawake na mwanamke hapigwi bora wewe unune tu udivorce ila ukimtia kibao demu wako akakushitaki ujue umeachika wewe na hapo mtaani huruhusiwi hata kupita

Hapo pamenifurahisha. Ila ndugu yanagu siungi mkono suala la kudivorce kwa sababu ya kibao. Sijui likoje?
 
Back
Top Bottom