Adsense hazi-display tena kwenye site yangu-msaada

Adsense hazi-display tena kwenye site yangu-msaada

Jeff

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2009
Posts
1,293
Reaction score
202
Habar zenu wana JF
Naombeni msaada, nina site yangu (Udaku Leo - Pata udaku daily) ambayo hapo mwanzo adsense zilikuwa zinadisplay bila tatizo kwa zadi ya mwaka, lakini sasa ghafla tu zimeacha kudisplaya na sijapata information yoyote kutoka kwao kwa nini adsense hazidisplay kwa sasa. naombeni msaada kama kuna anayejua na kunisaidia. Nawashukuru wote
 
Mimi mwenyew nilikuwa na tatizo ilo ila nili kata rufaa na kurudishiwa matangazo
kwenye site yangu Kitaani BONGO news
cha kufanya ni hivi
1.badilisha post zako zote ziwe za english.
2. post za kiswahili zirudishe draft post
3.post za english ziwe 30 tu
halafu nenda Google adsense help fanya ku appeal
Ukikwama tuwasiliane 0674162085
 
Mimi mwenyew nilikuwa na tatizo ilo ila nili kata rufaa na kurudishiwa matangazo
kwenye site yangu Kitaani BONGO news
cha kufanya ni hivi
1.badilisha post zako zote ziwe za english.
2. post za kiswahili zirudishe draft post
3.post za english ziwe 30 tu
halafu nenda Google adsense help fanya ku appeal
Ukikwama tuwasiliane 0674162085
nashukuru mkuu, ntakutafuta soon
 
Mimi mwenyew nilikuwa na tatizo ilo ila nili kata rufaa na kurudishiwa matangazo
kwenye site yangu Kitaani BONGO news
cha kufanya ni hivi
1.badilisha post zako zote ziwe za english.
2. post za kiswahili zirudishe draft post
3.post za english ziwe 30 tu
halafu nenda Google adsense help fanya ku appeal
Ukikwama tuwasiliane 0674162085
hupatikani
umenipa namba za bajaj mkuu toka mchana nakutafuta
 
Mimi mwenyew nilikuwa na tatizo ilo ila nili kata rufaa na kurudishiwa matangazo
kwenye site yangu Kitaani BONGO news
cha kufanya ni hivi
1.badilisha post zako zote ziwe za english.
2. post za kiswahili zirudishe draft post
3.post za english ziwe 30 tu
halafu nenda Google adsense help fanya ku appeal
Ukikwama tuwasiliane 0674162085
Huyu mtu ni tapeli wadau kuweni makini nae, hajui kitu kuhusu technology hasa mamboa ya blogs ila anajifanya anajua ili atapeli watu
 
Back
Top Bottom