Evari77
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 765
- 797
Utakuwa unajua elektroniki ya anlogue , amplifaya za switch za on and of na transistor kibao ikiwa unataka kutengeneza amp ya digital iwe na display button za kugusa , volume za digital basi unahitaji microcontroller kifupi tu niishie hapo naona unahitaji somo
Electronic naielewa vizuri tu lakini mimezamia sana kwenye mambo ya kuuda amplifier yaani zaivi naziunda mpaka za watt 100
Lakini hichi chombo ndo nilitaka kujua kazi yake ase na kinatumia control ya simu au la?