PreGE2025 Ado Shaibu: Mkienda katika uchaguzi kila chama kinapigania nafasi yake

PreGE2025 Ado Shaibu: Mkienda katika uchaguzi kila chama kinapigania nafasi yake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Hahaha chama hata kikiitisha mkutano darasa halijai kiungane na nani?

CCM inatafuta ku inflitrate chadema kwa kutaka hao waungane ili wapate mikakati.

Walipokuwa cuf walisema chadema iliwatumia kwenye ukawa, kwasasa kila mmoja acheze mechi zake.

Wataungana halafu wataachiana majimbo watashindwa kisha watasema chadema iliwadanganya, hawaaminiki hawa.
 
ACT kwa miaka mingi, toka enzi za Mwigamba wanajitahidi sana kuwa "relevant" ila ni kama ilishagoma hivii... 😁

Zitto ni kama alishampanga huyu jamaa kama "stunt" yaani atoke nyuma ya pazia aje jukwaani kuigiza, huku "script" yote ni ya ni ziito akiwa nyuma ya pazia.
He's definitely a joke, a big joke in town. He's cooked. 😋
 
ACT msije mkaungana na wahaini waepukeni kama ukoma. Halafu wana matusi .
 
ACT msije mkaungana na wahaini waepukeni kama ukoma. Halafu wana matusi .
Wataungana vp na wahaini wakati kiongozi wao yupo gerezani na chama chao hakishiriki uchaguzi au unataka wakashiriki Ukonga?
Act inaongelea kina PPT - maendeleo, Democrasia Makini, Tadea, Umd, Cuf, Chauma, Nra na wengine wanaoshiriki uchaguzi siyo hao unao wasema wewe.
 
Back
Top Bottom