hashimuboy
Senior Member
- Sep 19, 2017
- 131
- 56
Jaman naombeni ushauri nifanyeje ndugu zangu nilifanya application online chuo NIT lakini sikumaliza last step ya submission kutokana na ubovu wa mtandao kugoma na ndo ilikua deadline pia nilienda pale chuo NIT nikawaambia shida yangu wakanambia tayari wamesubmit lakini niliporudi kuchek application yangu bado ilikua pending sasa sijui kama ilipokelewa