Admin wa Tume Huru ya Taifa Uchaguzi amefanya kwa Makusudi au ndio ukweli? Chapisho lililopo kwenye tovuti lina makosa ya uandishi!

Wengine tukiita Tume ya Uchafuzi tunaitwa wachochezi sasa wao wenyewe wamejiumbua
 
Kwani siku zote wanakosea? Au nani kati yenu hajawahi andika kitu kwa ufasaha au hata kuongea pasipo kukosea kitu.
 
Mungu acheni aitwe Mungu, sasa mtoa hoja mbona nawe umechapia.... uandidhi Ndio lugha gani hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…