Mkuu ngoja nikusaidie kwenye Taaluma ya uandishi wa habari hasa print media ambayo inahusisha online writting ni kosa kubwa sana taasisi kubwa kukosea kimaandishi tangu jana chapisho liwekwe hadi leo chapisho halijafutwa au kuwekuwa masahihisho
Maana kadri unavyo liacha lianzidi kuzalisha maana ambayo inaleta changamoto hivyo kuzalisha maswali mengine kidhani
kwa Mantiki hiyo Tume huru ya uchaguzi wanatakiwa kuja na kusahihisha mbele za umma kwamba hilo chapisho limekosewa au liko sahihi ...
kadri wanavyo chelewa kuja kufanya masahihisho au kutoliondoa kabisa ndio linajenga sifa mbaya kwa kitengo cha habari ndani ya INEC
Nakupa mfano kwenye kuandika Headline kuna makosa kama ifuatavyo...........
Tume Huru ya Taifa ya Uchafuizi imetangaza kuwa Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani utafanyika Siku ya Jumatano ya tarehe 29 Oktoba, 2025
Makosa yako wapi Baada ya kuandika UCHAGUZI wameandika UCHAFUIZI ....
Baada ya hapo kwenye Lead ya story yao wamerudia makosa yaleyale ....kwa mfano...
Tume Huru ya Taifa ya Uchafuizi imetangaza kuwa Siku ya Jumatano ya tarehe 29 Oktoba, 2025 ndio itakuwa Siku ya Uchaguzi Mkuu wa Rais na Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Madiwani kwa Tanzania Bara ambapo jumla ya wapiga kura 37,655,559 wamejiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
NOTE ..
kwanza unajiuliza hadi leo chief editors ,sub editors and content editors wa hii websites wako wapi tanga waweke chapisho hili mtandaoni ...
ukitaka kufahamu kuwa kukosea jina au kicho chochote kwenye uandidhi wa habari ni hatari kwa afya ...omba chombo chochote kiancho husika an magazeti kikosee kuandika jina la SAMIA SULUHU HASSANI kiandike Tofauti na jina lilivyo
ndivyo utakavyojua kuwa kesi ya defamation huwa inafanaya kazi
asante