Bonny JF-Expert Member Feb 21, 2013 13,371 29,939 Feb 8, 2017 #1 Kuna group nimeingia huko whatsapp nikauliza jamni vipi?kimya, jamani wazima humu nikakuta kimya nimebadili jina la group kuwa "wauza madawa ya kulevya wa dar" hivi navyosema wameleft karibu wote ...nataka mambo mubashara bwana alaahkwamba kunijibu nalo ni suala mtambuka
Kuna group nimeingia huko whatsapp nikauliza jamni vipi?kimya, jamani wazima humu nikakuta kimya nimebadili jina la group kuwa "wauza madawa ya kulevya wa dar" hivi navyosema wameleft karibu wote ...nataka mambo mubashara bwana alaahkwamba kunijibu nalo ni suala mtambuka
yolk Senior Member Jan 29, 2017 137 240 Feb 8, 2017 #3 nilidhani una hoja.......! nategemea huu uzi wako kuukuta kwenye jukwaa husika baadae kidogo..
Bonny JF-Expert Member Feb 21, 2013 13,371 29,939 Feb 8, 2017 Thread starter #4 yolk said: nilidhani una hoja.......! nategemea huu uzi wako kuukuta kwenye jukwaa husika baadae kidogo.. View attachment 468651 Click to expand... Usjal utaikuta kule ila jukwaa limeandikwa habar na hoja mchanganyiko
yolk said: nilidhani una hoja.......! nategemea huu uzi wako kuukuta kwenye jukwaa husika baadae kidogo.. View attachment 468651 Click to expand... Usjal utaikuta kule ila jukwaa limeandikwa habar na hoja mchanganyiko