Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
KUTOKA KIKAO KATI YA BODI YA MISHAHARA YA SERIKALI NA WAKURUGENZI WA HALMASHAURI ZOTE NCHINI
Madaraja ya walimu yamerekebishwa graduate ataanza na TGTS E kama laki 850,000/= na wataAdjust kama ulikua C unahamia D automaticaly na wa D anahamia E pia daraja kikomo H linasogezwa hadi J kama kada nyingine.
My take.
Walimu msije mka bweteka.
Hili linaweza kuwa ni Changa la Macho.
Mwito wangu kwa Ma Mwela ( Polisi.)
Hizi sio zama za kutumiwa na CCM kama rough rider ama Dume kisha mna dastibiniwa.
Amkeni,daini haki zenu..
Madaraja ya walimu yamerekebishwa graduate ataanza na TGTS E kama laki 850,000/= na wataAdjust kama ulikua C unahamia D automaticaly na wa D anahamia E pia daraja kikomo H linasogezwa hadi J kama kada nyingine.
My take.
Walimu msije mka bweteka.
Hili linaweza kuwa ni Changa la Macho.
Mwito wangu kwa Ma Mwela ( Polisi.)
Hizi sio zama za kutumiwa na CCM kama rough rider ama Dume kisha mna dastibiniwa.
Amkeni,daini haki zenu..