Juma Mboto
Member
- Jun 18, 2011
- 67
- 27
Hii ni adhabu stahili kabisa, wakishalirudisha walikolotoa, wakiwa hivyo hivyo ------ uchi, hiyo bakora ninayoina ikiwahimiza mwendo itumike kuwachara barabara. Kinachosikitisha ni kuwa hata uwafanye nini, mtu akisha shikwa na tabia mbaya ya wizi haimtoki ng'oo. Umtembeze uchi, umchape, umpige tofali etc