Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,485
- 14,353
Wakuu....
naomba kujuzwa adhabu ya makosa haya.. kwa mfano mtu ambaye sio raia wa Tanzania
1. kuishi nchini bila kibali
2. kukosa viza
3.kufanya kazi bila kibali
na endapo mtu anapatikana na makosa adhabu yake ni ipi???
nitashukuru sana mkinijuza haya
naomba kujuzwa adhabu ya makosa haya.. kwa mfano mtu ambaye sio raia wa Tanzania
1. kuishi nchini bila kibali
2. kukosa viza
3.kufanya kazi bila kibali
na endapo mtu anapatikana na makosa adhabu yake ni ipi???
nitashukuru sana mkinijuza haya