Aden Rage ni mwanasiasa mbabaishaji na tapeli

Aden Rage ni mwanasiasa mbabaishaji na tapeli

ebaeban

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
2,205
Reaction score
2,707
Mkama mtakumbuka RAGE aliwahi kukaririwa na TV fulani week kadhaa zilizopita akisema kwamba kocha wao cokvic aende tu kwao SERBIA na kwamba awape contact zake watamlipa pesa zake kwa njia ya bank eti wanabanywa na sheria kulipa malipo zaidi ya $ 10,000 , kumbe zile zilikuwa fix zake tu.

Mbona tumeona kwenye vyombo vya habari Malikia wa nyuki kamlipa mzungu wa watu pesa zake powa kabisa , hiyo sheria imeenda wapi? Tatizo la RAGE kujifanya eti ni mwana sheria sijui na Tundu Lissu tumwiteje, Sasa Mzungu kalipwa ametustiri aibu wana SIMBA

RAGE HUYU JAMANI Mbabaishaji kweli.
 
Tatizo simba inahistoria ya kuongozwa na wahuni wezi wauza unga wezi wa shaba matapeli kama wambura hata mafanikio yake na kihunihuni tuu.fatilia viongozi wa simba kuanzia huyo rage na wengine wako magereza.
 
Watu wengi wanaojiita "watu wa mpira" ni wahuni!!!

Rage harudi bungeni 2015!! Amekuwa mjuaji sana tena muongo muongo!! Chadema hawamuachi maana tayari makamanda wanamwaga sumu!

Mimi ni shabiki wa Simba lakini huyu anayejiita msomi ameiharibu Simba bora hata darasa la saba wetu aliyepita!!

Wachezaji wanauza timu bado omba omba!TBL inalipa hadi mishahara! Simba wanajengo Msimbazi,Wafadhili,mapato ya mlangoni lakini bado ubabaishaji kibao!!
 
Asili nayo inamkaba mara pistol mara kupiga watu na milingoti ya bendera na sasa mauzo ya Okwi na ahadi hewa, amechafuka
Mkama mtakumbuka RAGE
aliwahi kukaririwa na TV fulani week kadhaa zilizopita akisema kwamba
kocha wao cokvic aende tu kwao SERBIA na kwamba awape contact zake
watamlipa pesa zake kwa njia ya bank eti wanabanywa na sheria kulipa
malipo zaidi ya $ 10,000 , kumbe zile zilikuwa fix zake tu.

Mbona tumeona kwenye vyombo vya habari Malikia wa nyuki kamlipa mzungu
wa watu pesa zake powa kabisa , hiyo sheria imeenda wapi? Tatizo la RAGE
kujifanya eti ni mwana sheria sijui na Tundu Lissu tumwiteje, Sasa
Mzungu kalipwa ametustiri aibu wana SIMBA

RAGE HUYU JAMANI Mbabaishaji kweli.
 
Hapo utafikiri unasema uongo wenye ukweli
Tatizo simba inahistoria ya
kuongozwa na wahuni wezi wauza unga wezi wa shaba matapeli kama wambura
hata mafanikio yake na kihunihuni tuu.fatilia viongozi wa simba kuanzia
huyo rage na wengine wako magereza.
 
Ni Alshaabab,Al kaida,gaidi,uamsho....yeye pamoja na kinana,watanzania tuwe makini kuchagua viongozi tusichague magaidi
 
Mbona tumeona kwenye vyombo vya habari Malikia wa nyuki kamlipa mzungu wa watu pesa zake powa kabisa ,

Vipi mumeshaandaa mpango wa kumkutanisha na Mfalme wa Nyuki? Yule jamaa wa kule Mpanda/Katavi..
 
Yonda hatacheza yanga mpaka watoe milioni hamsin moja ya kauli za rage napita njia tu jamani
 
Mkama mtakumbuka RAGE aliwahi kukaririwa na TV fulani week kadhaa zilizopita akisema kwamba kocha wao cokvic aende tu kwao SERBIA na kwamba awape contact zake watamlipa pesa zake kwa njia ya bank eti wanabanywa na sheria kulipa malipo zaidi ya $ 10,000 , kumbe zile zilikuwa fix zake tu.

Mbona tumeona kwenye vyombo vya habari Malikia wa nyuki kamlipa mzungu wa watu pesa zake powa kabisa , hiyo sheria imeenda wapi? Tatizo la RAGE kujifanya eti ni mwana sheria sijui na Tundu Lissu tumwiteje, Sasa Mzungu kalipwa ametustiri aibu wana SIMBA

RAGE HUYU JAMANI Mbabaishaji kweli.
Hahahahahaha!
Mbaya zaidi 'Libolo'la mtibwa leo linawasubili!
 
Ndio maana kwenye kampeni Igunga alikuwa anapanda na Bunduki jukwaani. Hajiamini na ndio tabia za wababaishaji.
 
Rambirambi za Mafisango zinamtia uwehu bila kujijua, maiti huwa haidhurumiwi kisha mbaki salama.
 
SokAaaaa sokaaaaaa imekua ujanjajanja tu wanachotaka ni umaarufu na kuiba ela za club
 
Back
Top Bottom