Huyo msomali anawadharau,siku ile alivyomwambia huyo mserbia alinikera sana alionesha dharau sana pia hata siku ile alipokuwa anawajibu ovyo kundi la mpira pesa.jamaa anawaona wajinga.
Yule Jamaa anaitwa Clifford Mario Ndimbo,hlf Mshikaji ni School mate wangu,namfahamu fika ni Jembe ile mbaya huwezi kumlinganisha na huyu wa sasa hivi (Kamwaga)Kuna kipindi aliulizwa na waandishi kuhusu sababu za kumuondoa yule msemaji wao(simkumbuki jina) alijibu kifedhuli kuwa hawezi kuzungumzia watu wenye vyeo vya usekretari. Joka hapo nilimuona wa hajabu sana.
Ni kweli RAGE kabwaga manyanga baada ya kipigo cha leo?
aden rage = al shabab > = kinana