Aden Rage aitwa "Bingwa wa Kudanganya"

Tuwekee na mashindano ya Kimataifa Yanga imeishia wapi na wapi na Simba imeishia wapi.

Academically, usipofika darasa la juu (LY) na kumaliza shule/chuo kwenye ngazi yoyote, hupewi cheti.
Mathalani kwenye ngazi ya shule ya msingi, mtu aliyeishia darasa la 3 hana tofauti na yule aliyeishia darasa la 4.

Equivalent ya vyeti kwenye football ni trophies. Common sense. Hellooooo??
 
Tuwekee na mashindano ya Kimataifa Yanga imeishia wapi na wapi na Simba imeishia wapi.

Halafu, pamoja na achievements za "wannabe" anazoringia Simba nilizoziandika hapa chini, nilitaka kusahau kuku-remind kuhusu ugwiji wa Yanga Afrika kwenye mashindano ya kimataifa.

  1. Katika mfumo wa kisasa wa CAF Champions League, Yanga Afrika ndiyo club ya kwanza kuitoa kimasomaso TZ kuweza kuingia kwenye knock-out stage (nane bora) wakati Simba ilikuja kufuatia mafanikio hayo baadae sana!
  2. Yanga Afrika ndiyo club pekee ya TZ kuweza kunyakuwa kombe (au makombe) lenye hadhi kubwa nje ya ardhi ya TZ

Inabidi kijana urudi tena ardhini (go back to earth) na uanze kuheshimu wakubwa zako!

Academically, usipofika darasa la juu (LY) na kumaliza shule/chuo kwenye ngazi yoyote, hupewi cheti.
Mathalani, kwenye ngazi ya shule ya msingi aliyeishia darasa la 3 hana tofauti na yule aliyeishia darasa la 4.

Equivalent ya vyeti kwenye football ni trophies. Common sense. Hellooooo??
 
Academically, usipofika darasa la juu (LY) na kumaliza shule/chuo kwenye ngazi yoyote, hupewi cheti.
Mathalani kwenye ngazi ya shule ya msingi, mtu aliyeishia darasa la 3 hana tofauti na yule aliyeishia darasa la 4.

Equivalent ya vyeti kwenye football ni trophies. Common sense. Hellooooo??

Na mtu anaepigwa goli tano mlipokutana mara ya mwisho anakuwa ndio mwenye shahada ya mwisho inayoonesha ni nani mshindi, au sio?
 
Na mtu anaepigwa goli tano mlipokutana mara ya mwisho anakuwa ndio mwenye shahada ya mwisho inayoonesha ni nani mshindi, au sio?

Real Madrid alipigwa 5-0 na Barca at some stage. Kiko wapi sasa hivi??

Mtakalia kushangilia trivial houseboyish achievements huku mkiacha mambo makubwa kwa Yanga Afrika. Na msimu tunachukua ndoo na mechi 4 mkononi, next CECAFA inatua tena Jangwani na baada ya hapo kwa kikosi hichi chini ya Saintfiet kuna uwezekano wa kunyakuwa CAF championship 2013-2014!

Some of you Simba fanatics are as "intelligent" as your chairman maha-Rage anavyosaini vivuli vya akina Yondani na Twite huku watu halisi wakitua Jangwani kiulaini.
 
Na mtu anaepigwa goli tano mlipokutana mara ya mwisho anakuwa ndio mwenye shahada ya mwisho inayoonesha ni nani mshindi, au sio?

we yani mi nikajua unabwabwajaga tu kwenye siasa kumbe hadi kwenye soka huna point,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom